Faisal ahame kwa kufuata taratibu

Faisal ahame kwa kufuata taratibu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Usione vyaelea vimeundwa, Faisal amekuwa Faisal baada ya kunolewa na kupatiwa huduma stahili. Hakuna sababu ya kumzuia mchezaji asiondoke kwenye timu baada ya kufuata taratibu zote, maana hata wachezaji wakubwa wanazihama timu zao, lakini Kuna wachezaji wakubwa pia wanakwama kuzihama timu zao. Pogba anataka kuhama lakini hahami.

Faisal pia afuate taratibu ili ahame, Yanga inatakiwa imruhusu mchezaji kama vigezo na masharti vitazingatiwa, vikiwemo uhai wa mkataba wake, vipengele vya mkataba, uhitaji wa mchezaji kwa Sasa, dau la kumuuza nk. Hii itasaidia kuweka kumbukumbu (presidency) vizuri kwa viongozi na wachezaji wa Yanga wanaokuja.

Mchezaji hawezi kujiamulia TU kuvunja mkataba bila Club kupata faida stahili. Kama kuna close ya mkataba inampa mwanya Faisal kuondoka ni vema ifuatwe hiyo close.
 
Usione vyaelea vimeundwa, Faisal amekuwa Faisal baada ya kunolewa na kupatiwa huduma stahili. Hakuna sababu ya kumzuia mchezaji asiondoke kwenye timu baada ya kufuata taratibu zote, maana hata wachezaji wakubwa wanazihama timu zao, lakini Kuna wachezaji wakubwa pia wanakwama kuzihama timu zao. Pogba anataka kuhama lakini hahami.

Faisal pia afute taratibu ili ahame, Yanga inatakiwa imruhusu mchezaji kama vigezo na masharti vitazingatiwa, vikiwemo uhai wa mkataba wake, vipengele vya mkataba, uhitaji wa mchezaji kwa Sasa, dau la kumuuza nk. Hii itasaidia kuweka kumbukumbu (presidency) vizuri kwa viongozi na wachezaji wa Yanga wanaokuja.

Mchezaji hawezi kujiamulia TU kuvunja mkataba bila Club kupata faida stahili. Kama kuna close ya mkataba inampa mwanya Faisal kuondoka ni vema ifuatwe hiyo close.
ni kweli kabisa ulichoandika
 
Azam wanatumia pesa na uzanzibari.

Yanga wasijichoshe wachukue iyo hela ya kuvunja mkataba ya Fei dirisha dogo hili watafute mchezaji mwingine.

kuendelea kung'ang'ania kufata sheria ambazo hata kama zipo lakini zinaweza kukiukwa na mambo yakaenda tu.hii nchi kuvunja sheria na mambo yakaenda ni kawaida kabisa Fei mpaka kaamua kuweka hela kwa Azam za kuvunja mkataba keshaamua akuna namna hapo nafsi yake imeshaamua.
 
Azam wanatumia pesa na uzanzibari.

Yanga wasijichoshe wachukue iyo hela ya kuvunja mkataba ya Fei dirisha dogo hili watafute mchezaji mwingine.

kuendelea kung'ang'ania kufata sheria ambazo hata kama zipo lakini zinaweza kukiukwa na mambo yakaenda tu.hii nchi kuvunja sheria na mambo yakaenda ni kawaida kabisa Fei mpaka kaamua kuweka hela kwa Azam za kuvunja mkataba keshaamua akuna namna hapo nafsi yake imeshaamua.
Nakuelewa lakini sishauri ushauri wako ufuatwe. Tukiwa na ligi ya Aina hiyo vurugu za kuibiana Wachezaji ambazo tulianza kuzisahau kutokana na kufuatwa Kwa mikataba zitarudi. Kipindi cha huyu kumsajili Mwameja na huyu akamsajili Keny Mkapa huku wakiwa wameshasaini vilabu vya awali zilishapitwa na wakati. Ulimwengu wa Sasa si wa kuruhusu uholela ufanye kazi. Kesho tutasikia Phiri kaweka mil.156 kwenye akaunti ya Simba na kuandika goodbye kwenye page yake Insta, keshokutwa mwingine na mwingine tena. Hali hii haipaswi kuachwa watu wajiendeshe tu bila taratibu. Ni kawaida ya wanasheria, na Mimi najua wanasheria wa Azam wamehusika. Wanasheria wetu wako kama viongozi wa makanisa ya kiroho, akigundua upenyo kidogo anashikia hapo hapo bila kujua hatua inayofuata inamkaba.
 
Azam wanatumia pesa na uzanzibari.

Yanga wasijichoshe wachukue iyo hela ya kuvunja mkataba ya Fei dirisha dogo hili watafute mchezaji mwingine.

kuendelea kung'ang'ania kufata sheria ambazo hata kama zipo lakini zinaweza kukiukwa na mambo yakaenda tu.hii nchi kuvunja sheria na mambo yakaenda ni kawaida kabisa Fei mpaka kaamua kuweka hela kwa Azam za kuvunja mkataba keshaamua akuna namna hapo nafsi yake imeshaamua.
Hiyo nadhani inafahamika lakini kwenye uongozi wa taasisi kubwa kama Yanga lazima ufuate sheria zote katika kufanya maamuzi, kwakuwa hiki unachokiamua Leo kina mchango mkubwa sana kwenye maamuzi ya tukio kama hili siku zijazo ili kuepuka double standard siku zijazo kwa wachezaji wengine. Sio rahisi hivyo, ukikosea Leo lazima ukosee na kesho. Kama mtoto wako wa kwanza amefaulu ukampa zawadi lazima ufanye hivyohivyo kwa watoto wengine watakaofaulu.
 
Nakuelewa lakini sishauri ushauri wako ufuatwe. Tukiwa na ligi ya Aina hiyo vurugu za kuibiana Wachezaji ambazo tulianza kuzisahau kutokana na kufuatwa Kwa mikataba zitarudi. Kipindi cha huyu kumsajili Mwameja na huyu akamsajili Keny Mkapa huku wakiwa wameshasaini vilabu vya awali zilishapitwa na wakati. Ulimwengu wa Sasa si wa kuruhusu uholela ufanye kazi. Kesho tutasikia Phiri kaweka mil.156 kwenye akaunti ya Simba na kuandika goodbye kwenye page yake Insta, keshokutwa mwingine na mwingine tena. Hali hii haipaswi kuachwa watu wajiendeshe tu bila taratibu. Ni kawaida ya wanasheria, na Mimi najua wanasheria wa Azam wamehusika. Wanasheria wetu wako kama viongozi wa makanisa ya kiroho, akigundua upenyo kidogo anashikia hapo hapo bila kujua hatua inayofuata inamkaba.
Wamsubiri 2024 au mwisho wa ligi, huwezi kushinda ligi kihuni kama hivyo, yaani timu inayoshinda unainyang'anya wachezaji wake kwa nguvu katikati ya ligi kwakuwa una fedha.
 
Nakuelewa lakini sishauri ushauri wako ufuatwe. Tukiwa na ligi ya Aina hiyo vurugu za kuibiana Wachezaji ambazo tulianza kuzisahau kutokana na kufuatwa Kwa mikataba zitarudi. Kipindi cha huyu kumsajili Mwameja na huyu akamsajili Keny Mkapa huku wakiwa wameshasaini vilabu vya awali zilishapitwa na wakati. Ulimwengu wa Sasa si wa kuruhusu uholela ufanye kazi. Kesho tutasikia Phiri kaweka mil.156 kwenye akaunti ya Simba na kuandika goodbye kwenye page yake Insta, keshokutwa mwingine na mwingine tena. Hali hii haipaswi kuachwa watu wajiendeshe tu bila taratibu. Ni kawaida ya wanasheria, na Mimi najua wanasheria wa Azam wamehusika. Wanasheria wetu wako kama viongozi wa makanisa ya kiroho, akigundua upenyo kidogo anashikia hapo hapo bila kujua hatua inayofuata inamkaba.
Mkuu haya mambo sio ya kiholela kama unavyodai.shida ni madhaifu au matobo kwenye mikataba yetu.

Azam sio watu wa migogoro hata kidogo,Azam mcheza akitaka kusepa hata kama wanamuhitaji uwa wanamuacha kiroho safi,na pia wakitaka mchezaji huwa wanafata taratibu vizuri kabisa.

sasa kweye hili la Fei kuna madhaifu kwenye mkataba wa Fei na Yanga.
Azam kama club wamesimama kwenye mstari shida ipo huko kwa Yanga na Fei.
kuna mikataba unafungwa bila kuinua macho kuangalia ya mbeleni nini kinaweza kutokea.
volue of money ya m100 kwa malipo ya mchezaji kuvunja makataba kipindi icho Fei anajiunga Yanga ilikua ni mzigo mkubwa,ila kwa sasa timu kama Azam,Simba,Yanga wanazitoa kwasababu mpira umepanda thamani.
makosa yalnajirudia yaleyale ya madhaifu ya mikata ndo yanazaa migogoro.kumbuka swala la Singano,Efue n,k
 
Mkuu haya mambo sio ya kiholela kama unavyodai.shida ni madhaifu au matobo kwenye mikataba yetu.

Azam sio watu wa migogoro hata kidogo,Azam mcheza akitaka kusepa hata kama wanamuhitaji uwa wanamuacha kiroho safi,na pia wakitaka mchezaji huwa wanafata taratibu vizuri kabisa.

sasa kweye hili la Fei kuna madhaifu kwenye mkataba wa Fei na Yanga.
Azam kama club wamesimama kwenye mstari shida ipo huko kwa Yanga na Fei.
kuna mikataba unafungwa bila kuinua macho kuangalia ya mbeleni nini kinaweza kutokea.
volue of money ya m100 kwa malipo ya mchezaji kuvunja makataba kipindi icho Fei anajiunga Yanga ilikua ni mzigo mkubwa,ila kwa sasa timu kama Azam,Simba,Yanga wanazitoa kwasababu mpira umepanda thamani.
makosa yalnajirudia yaleyale ya madhaifu ya mikata ndo yanazaa migogoro.kumbuka swala la Singano,Efue n,k
Kwanza Azam kjihusisha na mchezaji mwenye mkataba hai hadi 2024 bila kupitia Yanga sio kosa hulo?
 
Mkuu haya mambo sio ya kiholela kama unavyodai.shida ni madhaifu au matobo kwenye mikataba yetu.

Azam sio watu wa migogoro hata kidogo,Azam mcheza akitaka kusepa hata kama wanamuhitaji uwa wanamuacha kiroho safi,na pia wakitaka mchezaji huwa wanafata taratibu vizuri kabisa.

sasa kweye hili la Fei kuna madhaifu kwenye mkataba wa Fei na Yanga.
Azam kama club wamesimama kwenye mstari shida ipo huko kwa Yanga na Fei.
kuna mikataba unafungwa bila kuinua macho kuangalia ya mbeleni nini kinaweza kutokea.
volue of money ya m100 kwa malipo ya mchezaji kuvunja makataba kipindi icho Fei anajiunga Yanga ilikua ni mzigo mkubwa,ila kwa sasa timu kama Azam,Simba,Yanga wanazitoa kwasababu mpira umepanda thamani.
makosa yalnajirudia yaleyale ya madhaifu ya mikata ndo yanazaa migogoro.kumbuka swala la Singano,Efue n,k
Azam ni wahuni kama wahuni wengine TU, dirisha dogo sio uchochoro wa kurubuni na kuchukua wachezaji kwa nguvu wachezaji wenye mikataba kwakua eti unataka au una fedha, hapana. Kama wanamtaka mchezaji waende kwa mmiliki wake wakubaliane dau la uhamisho kama kama kama timu imekubali anauzwa. Sio uende kumpa mchezaji hela za kuvunjia mkataba wake halali bila kuwasikiana na mmiliki wa mchezaji.
 
Nakuelewa lakini sishauri ushauri wako ufuatwe. Tukiwa na ligi ya Aina hiyo vurugu za kuibiana Wachezaji ambazo tulianza kuzisahau kutokana na kufuatwa Kwa mikataba zitarudi. Kipindi cha huyu kumsajili Mwameja na huyu akamsajili Keny Mkapa huku wakiwa wameshasaini vilabu vya awali zilishapitwa na wakati. Ulimwengu wa Sasa si wa kuruhusu uholela ufanye kazi. Kesho tutasikia Phiri kaweka mil.156 kwenye akaunti ya Simba na kuandika goodbye kwenye page yake Insta, keshokutwa mwingine na mwingine tena. Hali hii haipaswi kuachwa watu wajiendeshe tu bila taratibu. Ni kawaida ya wanasheria, na Mimi najua wanasheria wa Azam wamehusika. Wanasheria wetu wako kama viongozi wa makanisa ya kiroho, akigundua upenyo kidogo anashikia hapo hapo bila kujua hatua inayofuata inamkaba.
Baada ya mechi ya Leo ya Azam na Yanga vurugu zote hizi zitalala usingizi wa pono, Azam bado wanaliwaza BAO la Faisal hadi Leo. Wanataka kumtoa Faisal kwenye mood na ikiwezekana asicheze Leo,
 
Baada ya mechi ya Leo ya Azam na Yanga vurugu zote hizi zitalala usingizi wa pono, Azam bado wanaliwaza BAO la Faisal hadi Leo. Wanataka kumtoa Faisal kwenye mood na ikiwezekana asicheze Leo,
Mi naisi hii fujo yote ni mind games zetu ili kuhamasisha derby ya leo
 
Mkuu haya mambo sio ya kiholela kama unavyodai.shida ni madhaifu au matobo kwenye mikataba yetu.

Azam sio watu wa migogoro hata kidogo,Azam mcheza akitaka kusepa hata kama wanamuhitaji uwa wanamuacha kiroho safi,na pia wakitaka mchezaji huwa wanafata taratibu vizuri kabisa.

sasa kweye hili la Fei kuna madhaifu kwenye mkataba wa Fei na Yanga.
Azam kama club wamesimama kwenye mstari shida ipo huko kwa Yanga na Fei.
kuna mikataba unafungwa bila kuinua macho kuangalia ya mbeleni nini kinaweza kutokea.
volue of money ya m100 kwa malipo ya mchezaji kuvunja makataba kipindi icho Fei anajiunga Yanga ilikua ni mzigo mkubwa,ila kwa sasa timu kama Azam,Simba,Yanga wanazitoa kwasababu mpira umepanda thamani.
makosa yalnajirudia yaleyale ya madhaifu ya mikata ndo yanazaa migogoro.kumbuka swala la Singano,Efue n,k
Umeuona huo mkataba na clauses zingine.

Unajua Fifa hairuhusu palyer kuvunja mkataba katikati ya msimu??
 
Back
Top Bottom