Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atavaa jeuri yakeUbingwa huu wa Yanga una mchango mkubwa wa mtukutu Fei Toto. Jasho lake ni jingi mno kwenye msimamo wa ligi.
Aitwe ashiriki kuvaa medali sawa na wenzake.
Yanga hawawezi muita na yeye hawezi kwendaUbingwa huu wa Yanga una mchango mkubwa wa mtukutu Fei Toto. Jasho lake ni jingi mno kwenye msimamo wa ligi.
Aitwe ashiriki kuvaa medali sawa na wenzake.
Aitwe kwani alifukuzwa? Lini na nan? Wapi? Kuhusu nn?Ubingwa huu wa Yanga una mchango mkubwa wa mtukutu Fei Toto. Jasho lake ni jingi mno kwenye msimamo wa ligi.
Aitwe ashiriki kuvaa medali sawa na wenzake.
Kwani alifukuzwa?Ubingwa huu wa Yanga una mchango mkubwa wa mtukutu Fei Toto. Jasho lake ni jingi mno kwenye msimamo wa ligi.
Aitwe ashiriki kuvaa medali sawa na wenzake.
Nani alimfukuza? Mtoto mtoro. Hata hivyo hata akivaa hawezi kuwa na raha kama wenzake, yaani anavalia nyumbani huku Dom limevimba Kama kaumwa na nyigu.Ubingwa huu wa Yanga una mchango mkubwa wa mtukutu Fei Toto. Jasho lake ni jingi mno kwenye msimamo wa ligi.
Aitwe ashiriki kuvaa medali sawa na wenzake.
Ajiandae kulipa gharama za kuudharau mkataba wake na Yanga,, medali ni kwa wanaoitumikia Yanga......Ubingwa huu wa Yanga una mchango mkubwa wa mtukutu Fei Toto. Jasho lake ni jingi mno kwenye msimamo wa ligi.
Aitwe ashiriki kuvaa medali sawa na wenzake.
Medali yake apekekewe hata nyumbani kwao. Anachokifanya Fei sio akili yake hata kidogo, maana kunguru Hana kibiyongo. Kuna watu na taasisi kubwa kabisa zimemdhulumu huyu mtoto kumnyima furaha na fursa huyu mtoto wakidhani pesa inaweza kununua kila kitu. Inawezekana hawa watu wanamlipa Fei hata bila kucheza huko nyumbani aliko na kusahau kuwa pesa sio kila kitu kwa kijana. Furaha kubwa ya kila mchezaji ni kuvaa medali na kunyanyua makwapa. Kuna wachezaji wanachama timu kwasababu ya kukosa kuvaa medali na kunyanyua makwapa.Hata akiitwa atakubali??
Magoli yake hayatafutwa na TFF Wala CAF. Points za magoli yake huenda ndio yaliyosababisha Yanga tutangaze ubingwa kabla ya mechi 2.Kwani tangu ameondoka kuna kilichoharibika?
Ataivaa hiyo medali akiwa huko kwao Mchamba wima, au akiwa uwanjani na wachezaji wa Yanga walioipigania timu yao mwanzo mwisho?Ubingwa huu wa Yanga una mchango mkubwa wa mtukutu Fei Toto. Jasho lake ni jingi mno kwenye msimamo wa ligi.
Aitwe ashiriki kuvaa medali sawa na wenzake.
Unafaaa kuambiwa maneno mabaya na kufanyiwa matendo mabaya ....Ubingwa huu wa Yanga una mchango mkubwa wa mtukutu Fei Toto. Jasho lake ni jingi mno kwenye msimamo wa ligi.
Aitwe ashiriki kuvaa medali sawa na wenzake.
Unadhani kwanini wamuite? Kwani walimfukuza? LAbda kama kila mchezaji ataitwa..!!Magoli yake hayatafutwa na TFF Wala CAF. Points za magoli yake huenda ndio yaliyosababisha Yanga tutangaze ubingwa kabla ya mechi 2.
Hii itaonyesha kuwa Yanga ni next level, wamwite TU avae medal ila kutofautisha Yanga na timu nyingine.