I love you! Oh, I mean your post!Looking from another perspective this girl truly loves Sugu,..sijui walikosana nini but huyu mwanamke alipenda haswaa,if she ain't crazy she's not inlove..she's crazy for that man she's inlove, innocently...
Sadly watu inabd uwe kauzu uwaignore muda mwingine ili wajue hata bila wao you can move on, get another man akupunguzie mawazo ya huyu Sugu
Faiza Ally Kamfungukia Mrembo anayesemekana ndio mchumba wa Mh Mr Sugu Kwa Sasa Anaitwa Happy...
Soma Hapa:
Simpati Kwa lipi huyo happy - makengeza? Au Kwa sababu Ana Fany kazi biuro Au Kwa sababu Na baba Sasha wamefanana sura ? Simpati Kwa sababu kila wiki anatuma Mbeya Samaki? Simpati Kwa sababu Ana mfupi mweusi mbaya Au simpati Kwa sababu Ana tumia nguvu Na hela KWENYE mapenzi ? Au simpati Kwa sababu mweusi Ana vidole Kama tangawizi? Mkisema simpati mna maanisha nn hasa ? Au simpati Kwa sababu hazai ? Simpati kivipi labda tuwekane Sawa ! Siwaelewi ....? Nielewesheni? Au simpati Kwa sababu Ana honga mashemeji Na mama mkwe yaani kivipi sielewi? Haha nyie mnao SEMA simpati naombeni majibu simpati kivipi ? Au simpati Kwa sababu amenuna gari kasema kanunuliwa ? Siwaelewi simpati kivipi ?[/Q
yetooooooo
uvona hicho kinyatha hahahah
hahhahaha ako kabwange ni kaberenge kenefwa na ili ihumba hahahaahuvona hicho kinyatha hahahah
hahaha enenya vihogwehahhahaha ako kabwange ni kaberenge kenefwa na ili ihumba hahahaah
😀hahaha enenya vihogwe
kwani wewe hupo instagram?Sanaa za bongo kick za insta zimehamia jf shikamoo magu
ndo raha ya mawasiliano kuna wengine wamekutana bar na penz linadumu maeneo hayatoi uelekeo wa penz bora.Sugu na Faiza walikutana facebook
Nikujibu?kwani wewe hupo instagram?
halafu humu jf kuna kila aina ya jukwaa azia la biashara gt na ucheshi michezo
kama unajiona mwanasiasa nenda siasani..............................