Faiza Ally amvua nguo Ommy Dimpoz

Nataka jina la huyo bosi kwanza
Si yule mukenya nasikia....tena nasikia pia huyo mukenya anakula na yule bibie michupi aka mjane ( na kwamba nae kumbe anatoa mtandao.pendwa)
#Mambonimengimdamchanche#
 
Du
Si yule mukenya nasikia....tena nasikia pia huyo mukenya anakula na yule bibie michupi aka mjane ( na kwamba nae kumbe anatoa mtandao.pendwa)
#Mambonimengimdamchanche#
Du tupe ufafanuzi hapa
 
Hahaha mjini pagumu bila kick hutoboi kaona mzazi mwenzie kamkaushia kaona aanzie wengine
Nimesoma mahali IG kuwa faiza aliwahi kukutwa na mchina kafia hotel sijui kweli au maneno ya waja
 
Kwa hiyo wakati mwingine chibu dangote huwa anaongea ukweli maana kwa mara ya kwanza kusikia bwana ommy anashikishwa ukuta. Nilisikia toka kwa chibu dangote.
 
Imagine how fun life would be if girls would finally hype each other up instead of bring each other down
 
Si yule mukenya nasikia....tena nasikia pia huyo mukenya anakula na yule bibie michupi aka mjane ( na kwamba nae kumbe anatoa mtandao.pendwa)
#Mambonimengimdamchanche#
Yule governor wa kule pwani ya Kenya?! Duuh kweli mji mzito huu
 
Masikini utamjua kwa matendo/maneno yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…