Faiza Ally amvua nguo Ommy Dimpoz

HAHAHAHA MKUU WARUMI UMENICHEKESHA SANA ULIVYOMPA DAWA MNAFIKI,,,,,HAHAHA
 
Sasa huku celebrity mnatakaga mkute story za walimu wenu wa la 2B mbona mnajikuna na upele usio wenu!
HAHAHAHA SHIDA NI UNAFIKI TUUU YANI MTU ANAKUJA CELEBRITY FORUM HALAFU ANA ANZA KULIA LIA
 
Si yule mukenya nasikia....tena nasikia pia huyo mukenya anakula na yule bibie michupi aka mjane ( na kwamba nae kumbe anatoa mtandao.pendwa)
#Mambonimengimdamchanche#
Nandy anatoa na alimpa kijambio hadi MAFIOSO
 
Mtoa Mada inaonekana ni Kifupi Nyundo na Ni Single Mother..
 
Daaah kwa kuumbua huku sidhani kama alirudi tena!!
 
Sasa huku celebrity mnatakaga mkute story za walimu wenu wa la 2B mbona mnajikuna na upele usio wenu!
Me nahisi mamluki wengi sana siku hizi JF, wanaona hawaelewi siasa kule wanakuja huku nako hawaelewi....
 
Ommy anatuzidi wenye k zetu hivi na yule mtoto ni wake au mapichapicha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…