HAHAHAHA MKUU WARUMI UMENICHEKESHA SANA ULIVYOMPA DAWA MNAFIKI,,,,,HAHAHANdugu yangu hili sio jukwaa la dini, sasa wewe ndugu yangu umetoka kanisan bado tena unasoma umbea? , ama kweli safari ya mbinguni inahitaji moyo kwa kweli , so umeenda kanisan bado tena na umbea wa warumi unataka kusoma? Nyie ndo mnachomwaga mpaka kope, c mchagua kutumikia bwana mmoja unafiki tu mxiee
HAHAHAHA SHIDA NI UNAFIKI TUUU YANI MTU ANAKUJA CELEBRITY FORUM HALAFU ANA ANZA KULIA LIASasa huku celebrity mnatakaga mkute story za walimu wenu wa la 2B mbona mnajikuna na upele usio wenu!
Ndio huyo huyo....na anakula na yule dada Kivuruge aka.mjaneYule governor wa kule pwani ya Kenya?! Duuh kweli mji mzito huu
Kiba nae anapenda mtandao pendwa. Kuna demu namjua alikiwa anasema kiba usipompa mgongo atakuacha.Kiba anaonja au anatoa!!?? Kwa taarifa yako Kiba bwabwa muda mrefu tu.
Nandy anatoa na alimpa kijambio hadi MAFIOSOSi yule mukenya nasikia....tena nasikia pia huyo mukenya anakula na yule bibie michupi aka mjane ( na kwamba nae kumbe anatoa mtandao.pendwa)
#Mambonimengimdamchanche#
Nshamfahamu ni yule aliyechumbia mke wa msanii mkubwaHuyo ni Senator wa Mombasa nadhani... simtaji jina...jiongeze mwenyewe...
Asingeweza kupiga shuti mpiraniKiba anaonja au anatoa!!?? Kwa taarifa yako Kiba bwabwa muda mrefu tu.
Mafioso ndo nani tena...? Chafu Pozi??Nandy anatoa na alimpa kijambio hadi MAFIOSO
Nasikia hiyo mke ilikuwa chakula yake ndo akampasia kiba. Kiba akaamua kuweka ndani kabisa[emoji2][emoji2][emoji2]Nshamfahamu ni yule aliyechumbia mke wa msanii mkubwa
Duh! Hatari sana kwakweliNasikia hiyo mke ilikuwa chakula yake ndo akampasia kiba. Kiba akaamua kuweka ndani kabisa[emoji2][emoji2][emoji2]
Wanafiki tu haoHAHAHAHA SHIDA NI UNAFIKI TUUU YANI MTU ANAKUJA CELEBRITY FORUM HALAFU ANA ANZA KULIA LIA
Daaah kwa kuumbua huku sidhani kama alirudi tena!!Ndugu yangu hili sio jukwaa la dini, sasa wewe ndugu yangu umetoka kanisan bado tena unasoma umbea? , ama kweli safari ya mbinguni inahitaji moyo kwa kweli , so umeenda kanisan bado tena na umbea wa warumi unataka kusoma? Nyie ndo mnachomwaga mpaka kope, c mchagua kutumikia bwana mmoja unafiki tu mxiee
Me nahisi mamluki wengi sana siku hizi JF, wanaona hawaelewi siasa kule wanakuja huku nako hawaelewi....Sasa huku celebrity mnatakaga mkute story za walimu wenu wa la 2B mbona mnajikuna na upele usio wenu!
Inawezekana waliotoa 300milion kuchangia club kongwe nchiniNataka jina la huyo bosi kwanza
Kwamba ommy dimpoz anatoa tigo?