Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Labda kuangali porn nilipokua teeneger kume ni disturb, lakini hiyo ni picha ya kawaida kabisa. Vitabu vya sayansi vya shule za msingi vina michoro/picha za uchi kabisa, ukiangalia hadi unashtuka
Hapa tunaongelea ethics za taaluma ya udaktari pamoja na sheria za chumba cha kuzalisha..tatizo sio picha
 
Hivi kwa akili ya kawaida hii ni picha ya kujipiga/selfie? Atafutwe mkunga aliyempiga mchezo uishe.
Labda kama ana mikono mitatu.
 
Hakuna kesi hapo...picha ni kwa idhini ya faiza na sio daktari.. mgonjwa ndio mwenye mamlaka na mwili wake.
Nenda kambi yoyote ya jeshi uwe unajipiga vi-selfie kila kona, halafu useme picha najipiga kwa idhini yangu.

Kila mahali na utaratibu wake, na zaidi si maadili mama mtumzima kujipiga picha unazalishwa.
Au ni sifa nzuri?
 
Mentally ill
 
Mkuu ambacho hujaelewa wewe ni kitu kimoja

Aghakhan ni binafis wanasheria zao huyu manzi kajifungulia hosp ya govement
Hakuna sheria za Afya zinazo tofautisha Private na Public facilities, sheria ni moja, Ideally hakuna sheria inayokataza mwenza kushuhudia mwenzake akipatiwa huduma km mgonjwa akiridhia ila kutokana kukosekana kwa usiri (chumba kimoja au wadi kuwa na zaidi ya mtu mmoja iko kitu hakiwezekani kwa Hospital za umma )
 
Jamani mnahangaika bure huyo mtu ni changu mzoefu na biashara ni matangazo.
 
Sasa mbona wanashtaki madaktari?
Watashtakiwa wore....
Madaktari watawajibishwa kwa kukiuka maadili ya kazi yao....sio kila anachotaka mgonjwa lazima umfanyie.....!!!

Faiza atashtakiwa kwa cyber crime kusambaza picha za utupu.
 
Mimi binafsi namlaumu mhesh Sugu kwa sababu ukibaitika kuitwa mhesh inatakiwa uwe makini hata kwa mademu unaotembea nao ,cheki sasa huyu manzi anavyomuahaibisha Mheshimiwa.
 
Watashtakiwa wore....
Madaktari watawajibishwa kwa kukiuka maadili ya kazi yao....sio kila anachotaka mgonjwa lazima umfanyie.....!!!

Faiza atashtakiwa kwa cyber crime kusambaza picha za utupu.
Ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…