Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Kwanini alijifungua na kupigwa picha kwa hiyo anapenda wazee w kiki



Swisssme
 
Mtoa mada una matatizo binafsi na huyo mbeya, hiyo picha aliipost kichaa mwenyewe Faiza naona watu waka report na amelalamika sana kwa nini umefutwa. Huyo Faiza sugu sijui alimpataga akiwa amelewa.
 
Picha apige mwenyewe Faiza kisha aweke kwa Page yake mwenyewe watu waje later na kufanya repost, Halafu wewe ndio utokwe na POVU ivi???????[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hiyo picha ni kinyume na sheria mila na desturi ya Tanzania ndio maana tukikuta kichaa anatembea uchi huwa tunamsitiri kwa khanga jaribu ku i magine angekuwa mama yako binti yako au mkeo au hata dada yako ungeweza kuiposti kwenye page yako wewe mwandishi maarufu?
Yyy ndo aliyoipiga hiyo picha ...?

Sasa soudy anahusika vipi wakati muhusika ndo msambazaji!!

Hapo sasa wakumlaumu mhusika mkuu faidha sio soudy

Yeye mwenyew kapenda picha yake kua reposted sasa ww inakuuma nn?

Soudy amemsaidia kushea tu, mbona kwenye page yangu pia nimeiweka .
Faiza ametuambia tu stei tuni kwa video fromi unywele mpaka miguu

Hahahha wkt mhusika mwenyewe analaani kitendo cha watu kuireport ikafutwa...na kasema sasa anaweka clip kabisa...
 
Nadhani kama Sugu atasoma hapa please nenda mahakamani mchukue mtoto wako kwa maslahi ya mtoto. Una haki ya kudai mtoto huyu sio mama.
 
Faiza sio kichaa anajua anachokifanya na amewalaumu watu kama nyie mna report picha zake na IG wanaziondoa
 
Faiza sio kichaa anajua anachokifanya na amewalaumu watu kama nyie mna report picha zake na IG wanaziondoa
Siyo IG tu naamini suala lake liko mikononi mwa vyombo vya dola na hao wanao repost sheria ya muswada wa habari ya mwaka jana inakata kusambaza picha yoyoye isiyo maadili.
 
Siyo IG tu naamini suala lake liko mikononi mwa vyombo vya dola na hao wanao repost sheria ya muswada wa habari ya mwaka jana inakata kusambaza picha yoyoye isiyo maadili.
Pambana na hali yako mkuu...ya faizal mwachie faizal ..yeye amediss watu kama nyie mnaotaka picha yake isitembeee
 
Ila akijipiga picha ya uchi akapost ndiyo ni sawa na maadili. Acheni kutetea wajinga. Ipo mtandaoni katupia mwenyewe sasa unategemea nini. Ingekuwa una sever ya pekee yako sawa ila ujue ilishasambaa kwenye sever nyingi balaa.
 
Duh, huu utandawazi haukuja kwa maana ya kila kitu kiwe wazi.Ewe MwenyeziMungu utunusuru waja wako na haya madudu.
 
Unajua mi demu nikishapiga nae story dakika 10 tu najua huyu kichwani zipo ngapi, sasa nashangaa Sugu alikuwa anakatika tu mpaka mimba yaani alikuwa ajagundua tu kama huyu chizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…