Faiza Ally na kashfa ya utapeli

Faiza Ally na kashfa ya utapeli

reymage

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2021
Posts
12,203
Reaction score
28,789
Hii guys
Haya mambo ya mjini Daslam socialite Faiza na asieshiwa vituko amelipuliwa na kashfa za utapeli Kwa Baadhi ya watu waliompa Pesa awaletee mzigo kutoka China
Ukimbukwe miaka kadhaa iliyopita alianza biashara ya kwenda China kunnua vitu unampa Pesa anakuagizia then mizigo ikifika unafata

Sasa baasi nadhani hapa kati mambo yaliingiliana sijuii alikumbwa na Nini maana ana madeni na mizigo ga watu mingi wanamdai tu the extent mpk anapelekwa polisi analipa

Yasemekana pia ukimdai sana anakublok paaap,na watu wengi wanalalamika hawalipi na wanadai pesa za Mizigo
Faiza mwenyewee alishakiri kua anadaiwa na alitaka kuuza nyumba alipe madeni watu wakamshauri asiuze alipe pole pole

Kero yake ni kua ukimdai unakula mitusi na blok juu na huna Cha kumfanya ,mtoto wa mjini tenaa...
Jana Naona mange Kamlipua paaap Yaani hizo testimony za watu wanaomdai mpk huruma ,Mungu amsaidiei alipe.
Na Sasa hivi kaanzisha mchezo wa kupeana ila Bado watu wataenda

Nimegundua online business bongo Bado sana wengi wafanyabiashara ni matapeli tapeli tu,na hawana mitaji ya kuovercome losses Incase ikitokea

Ndo maana faiza Leo anaonekana tapeli
Maana pesa hawana isipokua Drama tu za mitandaoni
Lingine unaagiza mzigo January unatumia December

Ila watanzania tulivyo wajinga Bado watu wataendella kuagiza pia Ili bàadae walalamike tu
Watu Sasa hivi hawaogopi Mungu wanafanya wanavojua ,yaani ht umpelelek wapi bad anaendeleza mambo yake


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Baadhi ya comments za waja
Screenshot_20230504-080243.jpg
Screenshot_20230504-074559.jpg
Screenshot_20230504-074610.jpg
Screenshot_20230504-074618.jpg
Screenshot_20230504-074623.jpg
Screenshot_20230504-074824.jpg
Screenshot_20230504-074719.jpg
Screenshot_20230504-074655.jpg
Screenshot_20230504-075105.jpg
Screenshot_20230504-074837.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kama hujui experience za biashara hivi vitu utashadadia...ni.changamoto tu hizi..mm aliniagizia kimashine changu kikafika....!
Yaani kuna alibaba, madeinchina wote hao unaagiza mzigo kwa jumla na hata ukitaka sample kwanza unatumiawa.

Kwa mizigo mikubwa silent ocean yupo hapo kukatiza bahari kama vile nchi kavu ili mradi mzigo ukufikie.

Viherehere vya kufanya kazi na mastar ndo vinawaponza, mastar wenyewe njaa tupu
 
Safi sana Faiza, Tanzania tuna idadi kubwa sana ya watu wazima wasio na akili ukifanikiwa kuwatumia kama rasilimali katika biashara yako unatusua mapema sana.

Kampuni rasmi za kuagiza mizigo zipo, ila jitu mbumbumbu bado linataka shortcut na kuagiza kwa mtu ambaye hana hata ofisi. Stupid
 
Kama hujui experience za biashara hivi vitu utashadadia...ni.changamoto tu hizi..mm aliniagizia kimashine changu kikafika....!
Shida sio biashara shida mizigo inachelewa ila Sasa anajibu Watu hivyo na block juu

Na sio kua wote wametapeliwa wengine wamepata
Kuna mmoja aliagiza chupi January zikaja Dec zimefuka zinanuka uvundo ptuuuu
[emoji1][emoji1][emoji1]Anasema aligawa na kuvaa mwenyewe zotee
Sasa Si kulostishana hukoo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom