Masaa machache tangu mbunge Sugu amvishe Pete mchumba wake , aliekuwa Ex wake na mama mtoto wake Faiza Ally amuombea uchumba wake uvunjike ili arudi kwake kwani Bado anampenda
View attachment 993047
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo wacha kupayuka.....bibie Faiza katumia sarcasm tu kujibu maneno ya watu kwani inaonekana watu walitaka kusikia anasema nini.
Sarcasm ndo inakuwaga hivi? Umeshindwa hata kujiongezaDogo wacha kupayuka.....bibie Faiza katumia sarcasm tu kujibu maneno ya watu kwani inaonekana watu walitaka kusikia anasema nini.
Aliyekuwa anamtukana mchumba mpya wa sugu ni nani?!
Faiza ana matatizo sana,anashindwa kumove on na kila siku anajinasibu anajiweza!
Akilala Sugu akiamka Sugu
Yaani hapo kaongea kweli mbona siku zote huwa anasema anampenda Sugu anatamani hata leo amrudieDogo wacha kupayuka.....bibie Faiza katumia sarcasm tu kujibu maneno ya watu kwani inaonekana watu walitaka kusikia anasema nini.
Amejibu kile ambacho alitaka wapumbavu wakisikie.Faiza akili yake[emoji119][emoji119][emoji119]. Nampendaga hivyo hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni haterSugu ni mvuta bange na msela mavi anahitaji mwanamke kama Faiza wavute bangi na kulana tigo
Sure ..yan faiza hayuko serious... Mtoa mada hajakamilika kwenye issue za kuchanganua mamboDogo wacha kupayuka.....bibie Faiza katumia sarcasm tu kujibu maneno ya watu kwani inaonekana watu walitaka kusikia anasema nini.
Wewe unaongea kitu usichokijuaSure ..yan faiza hayuko serious... Mtoa mada hajakamilika kwenye issue za kuchanganua mambo
From profile picture to proper future