Leo nina bahati mbaya mie interview zote nimechelewa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]emmyta Sakayo
Shunie joanah
Linamo ukhuty
Gentries
carbamazepine Kichwa Kichafu
geniveros Neybright stable woman
Na wengineo kujeeeeeniii ila msichapie tu hapa tupo na mwalimu wa waalimu
Kwann unajiita faizafoxy?Haya wenye maswali Yao ukumbi wenu sasa. Ulizeni mpendacho.
Wewe umeswali magharibi?Unafiki wa kiwango cha juu huu.
Swala ya magharibi imekupita, ngoja nione kama Ishaa utaenda kuswali.
Sawa.Haya wenye maswali Yao ukumbi wenu sasa. Ulizeni mpendacho.
Bandiko namba 284 kuna maswali yangu ,yapitie kisha unijibu kwa ufasaha zaidi.Haya wenye maswali Yao ukumbi wenu sasa. Ulizeni mpendacho.
Shem hajambo[emoji38] [emoji38]Naona kafatwa tayari[emoji23][emoji23][emoji23]
Picha haitumwi[emoji23] [emoji23]Umegoma kutuma picha[emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji134] [emoji134]Leo atakula kwa muosha rungu
Wewe ni mjinga?Kivipi??
Ww ni KE??
Mkuu thread hii nasoma comments Zako tu.nikaona[emoji735]
niliona[emoji736]
Rudi shule ukajifunze upya kuhusu njeo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu thread hii nasoma comments Zako tu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]