acha mkwara nitauliza tu labda nile BANNo such thing,remember faiza isn't Miss!
Hii ya leo ndo bonge la interview, ngoja nisricribe kabisa, ila kinachoharibu hizi interview chit-chat nyingi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajitoa kwa ID hii ama ile nyingine?。
Mimi ni me mkuu,naona km umepanic mkuu!kulikoni?Wewe ni KE?mbona upo hapa?
Yuko vzr kichwani tatizo anaboa akianza maudini yakeujue huyu mama nnavyomuheshimu nitakuwepo kwenye interview yake. naomba umuulize very constructive questions. huyu mama ana mambo mengi sana kichwani kwake kama hamjui
Hatari sana na nimeshamtaarifu ni maswali bampa to bampaUnataka asuse tena[emoji23][emoji23]
ushingatie>>>uzingatieHapa lazima ushingatie taratibu za uandishi.
Interview inaweza kukugeukia
Hapana mkuu sijapanicMimi ni me mkuu,naona km umepanic mkuu!kulikoni?
Ndicho nilikuwa nakitaka hunter.ushingatie>>>uzingatie
Hapa chini atakwambia...
Hivi huko shule mlienda kusomea ujinga??
Ndio mana uzi upo chit chat mkuu ukifahamu hilo wala hupati shidaHii ya leo ndo bonge la interview, ngoja nisricribe kabisa, ila kinachoharibu hizi interview chit-chat nyingi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bebe rafiki ulihudhuria interview ya Miss Natafuta?Huyu bibi leo ataua mtu!![emoji53][emoji53][emoji53]......believe me!
usijali bibieNilisahau jose,sirudii tena
Kujitoa hapana labda uombe mods wakupe ban ya wiki kadhaaFaiza akitokea hapa kujibu maswali najitoa JF!
Poa poaHapana mkuu sijapanic
Nilikuwa nauliza tu kama wewe ulivyouliza pale