mkandumbwe
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 424
- 371
Hapa umevuka mipaka.....sidhani kama ulitakiwa kukashifu kiasi hiki huyu mwanamke na wanawake wote.I think so, dume zima utasifiaje dem kama FaizaFoxy ambaye kila mwisho wa mwezi anatoa damu kwenye mapaja
Hapa sio Mahala pa kuombana RadhiHapa umevuka mipaka.....sidhani kama ulitakiwa kukashifu kiasi hiki huyu mwanamke na wanawake wote.
Bila shaka unapaswa kuomba radhi.
Kwani haingii period labda awe sio mwanamke, all in all anisameheHapa umevuka mipaka.....sidhani kama ulitakiwa kukashifu kiasi hiki huyu mwanamke na wanawake wote.
Bila shaka unapaswa kuomba radhi.
Wala hukuwa na haja ya kusema haya ....Kwani haingii period labda awe sio mwanamke, all in all anisamehe
Sijakataa mkuu kwan wote ni wanawakeWala hukuwa na haja ya kusema haya ....
Ila kama umeamua ni vyema ukakumbuka tu kuwa anayevuja damu mapajani kila mwisho wa mwezi si faizafoxy peke yake.
Mama yako pia anavuja
Dada zako vivyo hivyo
Shangazi zako na kadhalika.
Kiburi si maugwanaHapa sio Mahala pa kuombana Radhi
Ama kweli wewe ni bujibuji.yahitaji ujasiri wa hali ya juu kusifia mavi.FaizaFoxy the determined lady, ukisoma tu andiko lake unarudi nyuma.
Huyu ni miongoni mwa wanawake wachache ninao tamani kuandika biography zao.
Ni mzaliwa wa wilayani Rufiji mkoani JF.
Graduated in Canada 1981 extelecom engineering.
Ni mwanamke pekee anayeweza kuwashinda kwa hoja Wanaume 1000 na mwisho wa siku wakasarenda.
FaizaFoxy sio wa kispotispoti ujue.
Ana facts, ana references, habishi from nowhere.
Msomeni kwa kina mumwelewe FaizaFoxy
NB:-
Ukiona hajakuelewa sasa, mueleweshe tatatibu baadae.
Natarajia huu Uzi Utaniletea masimango ya kutosha, Niko tayari kuyapokea
Bi Mkukbwa hapo umepotea.."nina" Kiswahili ni tusi.
Bi Mkukbwa hapo umepotea..
"Nina" sio tusi kama ulivyosema, ni neno kamili la kiswahili cha zamani likiwa na maana ya "mama".
Kuna maneno mengine ya kale ya kiswahili ambayo hayatumiki tena sana kama neno "umbu" likiwa na maana ya "dada".
Matumizi ya neno "nina" yamebaki tu katika tusi moja maarufu.."k**a nina", hapa mtukanaji anamtusi mama wa mtukanwaji. Walibadilisha hilo tusi ili liende na wakati wakaondoa nina wakaweka "mama yako"
"Mwina" hilo neno geni kwangu, tupeane elimu bi mkubwa.Bado hujuwi maana yake, ungeijuwa ungejuwa na maana ya mwina.