Faizafoxy Mwanamke wa shoka, ubishe usibishe

FaizaFoxy roho ngumu tu hakuna cha zaidi alichonacho...Google chochote unachokitafuta,mada yoyote unayoihitaji kwa fikra unazozitaka wewe utaI pata, leo tuna mwaka 2017 kipi hakijaandikwa..faiza akisoma mada kabla hajachangia anaingia google kutafuta articles zinazokubaliana na mawazo yake,,ambazo hata wewe juu ya lolote utazipata,,akishazipata anaweka link as if ndiyo zimeandikwa au ndivyo mambo yalivyo,,yote katika yote identity yake kama mwanamke ni CREDIT muhim sana anayoitumia sababu mwanaume kubishana na mwanamke NATURALLY atakushinda,halafu na faiza anajidefence kwa dharau as if ana hoja nyingine,ndiyo maana ya kusema ana roho ngumu hata akiwa hana hoja akijishaua,,,,,,,,na mwana fa alishaimba,,,,,,,,,mwanaume kwa dem ni kama mfupa kwa fisi
 
Faiza Foxy ni taasisi ya Bakwata....hiyo ID inatumiwa na more than 20 people
ninakubaliana na wewe kwa asilimia 99 mkuu,kwa identity ya mwanamke kwanza anacapture attention ya wanaume automatically uwezo wa kutoa hoja kwa wengi unakwisha coz naturally mwanaume kubishana na mwanamke haijakaa sawa,,,faizafoxy sio mtu mmoja,na ni kikundi walau cha watu wenye ka upeo flan ka kufikiri
 
Reactions: dtj
Taasisi
 
Fox Kwa kiswahili ni mbweha, so tufafanulie ni nani uyo binadamu
 
Masala kulangwa
 
Mwoga hapa akanyagii.. [emoji23] [emoji23]
 
Alishapoteza mvuto humu ndani,nahisi katuma wapambe wake wamrudishe ki-dizaini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…