FaizaFoxy Vs Nyani Ngabu...nani mshindi

Unapaswa ujue kuwa kila mtu ana muda wake. Wewe wakati uko busy, mwenzako anaweza kuwa likizo.
If you dont know how to have fun, let those who know how to have it have it.

Fun has got another definition if this is having fun...
 
The evolution of JF threads... now we have ZM vs FA !!!
 
Fanefinstastic! Your McPhifet switch is discombobulated!
 
The topic is about Anti antidisestablishmentarianism vs Antidisestablishmentarianism...

Huyo ni "lightweight" mimi ni category nyingine kabisa, mnataka nishtakiwe kwa "murder case"?
 
Sasa hiyo ni "lightweight" mimi ni category nyingine kabisa, mnataka nishtakiwe kwa "murder case"?

FF mimi nakukubali sana tu, ila leo umeniangusha kwa kweli. Yaani NN kachukua vyotevyote live. Sasa hivi anakula zake tacos.
 
tutakimbiana hadi lini? Basi naomba tumfuate mzee mzima mwanakijiji kule kwenye siasa..tumpelekee huyu FF naona kwa mara ya pili mfulilizo mapambano yana kwama.na ya hacha madhara makubwa kwani hadi sasa mwita25 haonekani ni siku ya pili sasa na yoyo ana masaa 10 hayuko hewani.
 

kiti cha mbele nimesha kinunua..
Je tuna chagua mshindi au ??
 
kiti cha mbele nimesha kinunua..
Je tuna chagua mshindi au ??
Hii league inabidi iende mpka end of the year...kwa hizi posts chache hatuwezi fahamu nani zaidi!!!
Bado kuna magwiji wanausoma tu mtanange!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…