Hii league inabidi iende mpka end of the year...kwa hizi posts chache hatuwezi fahamu nani zaidi!!!
Bado kuna magwiji wanausoma tu mtanange!!!
Mpambano ulikuwa ni debate kati ya FF na NN. Topic ni nani bora kati yao. Hizi ni debate za majigambo. Kila mmoja alipaswa kujigamba mpaka mshindi apatikane.
Katika mchakato huo NN amefanikiwa kuwa on top.
Arifu siwezi kula kona kwa dogo Nyani Ngabu....nimempa uhuru achague topic yoyote an uwanja wowote tutunishiane misuli...nilichague Bongo radio najua pale atakamatika hawezi ku google urban diskshonare yake....tutakimbiana hadi lini? Basi naomba tumfuate mzee mzima mwanakijiji kule kwenye siasa..tumpelekee huyu FF naona kwa mara ya pili mfulilizo mapambano yana kwama.na ya hacha madhara makubwa kwani hadi sasa mwita25 haonekani ni siku ya pili sasa na yoyo ana masaa 10 hayuko hewani.
Huyu namuweza mimi.....na english yake ya urban dikshonare.....Haka ka Nyani Ngabu kapo kapo tu hata ku debate nako ni udhia mtupu.
Hii league inabidi iende mpka end of the year...kwa hizi posts chache hatuwezi fahamu nani zaidi!!!
Bado kuna magwiji wanausoma tu mtanange!!!
Mkuu mtu chake kumbe wewe ni legendary humu. Kuna debate ya nani tena!!Kuna debate nyingine nasikia
Hahahahaha....NN kaomba debate na MakondaMkuu mtu chake kumbe wewe ni legendary humu. Kuna debate ya nani tena!!
Nyani Ngabu huu hapa , Saint Anne pita ujionee
intelligent Bussnessman njoo hukuKumbe ndo huu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asante mkuu.
Ok.Asante mkuu.