I ain't even gonna waste my time on you coz soon you gonna start foaming at the mouth while speaking in tongues like a possessed wayward silverback gorilla.
Mungu hapendi mashindano ya biblia...tuyaboreshe hayahaya...nenda kamtafute wanchekesha umlete
Nobody is duckin yo ass...That's it folks. I'm done. Everybody is ducking me.
Adios amigos.
Si ulisema both of us? Rember hakuna matusi, sina huo muda.
Nobody is duckin yo ass...
Nobody is duckin yo ass...
Kwa taarifa mi kutongoza nilisha sahau siku hizi ni signal tu
Hapa hutaki matusi...
Unachokoza nyuki????
Naona jamaa huyu anataka kuweka mpira kwapani sasa ngoja tuondoke zetu mamii
Naona jamaa huyu anataka kuweka mpira kwapani sasa ngoja tuondoke zetu mamii
Na wewe umeuweka kwenye masaburi?Naona jamaa huyu anataka kuweka mpira kwapani sasa ngoja tuondoke zetu mamii
Na wewe umeuweka kwenye masaburi?
mmh!,subiri kidogo.......Kwakua ule mpamabno wa debate kati ya Kiranga na Mwita25..umeshindwa kufanyanyika
sasa naona Kuna Mpambano mwingine unaendelea kati ya mafahali wawili
huo si mwingine ni kati ya
FaizaFoxy Vs Nyani Ngabu...unaendelea katika ule uzi wa akina Kiranga na Mwita25
sasa Tabiri nani mshindi ujipatie zawadi ya X mass......
JF..Chit Chat​
teh teh teh....Na wewe umeuweka kwenye masaburi?
Nimependa jinsi Yo Yo anavyojiamini.
FF Anamuona M. Mwanakijiji ni easy game, Mwanakijiji umeipata hiyo njoo hapa haraka kabla sijaku PM.
NN una dawa gani wewe mpaka FF anakukimbia? Ila kiboko yako Yo Yo...
Hata kama hatutaki nadhani tunalazimika kukubali kuwa kwa mpambano wa leo NN kaibuka mshindi. Nenda zako Red Lobsters ukalambelambe.
Halafu wewe NN huu mtindo wako wa kutaja maeneo matam matam utasababisha nguvu kazi ya Bongo itamani kuhamia "mtoni".
Hivi mpambano ulikuwa unahusu nini? what was the topic?
Matumizi ya muda yamewapitia kando baadhi ya Watanganyika wenzangu...nimepita kuwakumbusha kuwa muda ni pesa;