𝐅𝐀𝐋𝐒𝐀𝐅𝐀: Mgawanyo wa makundi ya watu kiutawala. Wewe upo kundi lip?

𝐅𝐀𝐋𝐒𝐀𝐅𝐀: Mgawanyo wa makundi ya watu kiutawala. Wewe upo kundi lip?

MLIMAWANYOKA

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2019
Posts
631
Reaction score
2,247
𝐅𝐀𝐋𝐒𝐀𝐅𝐀: πŠπ€πŒπ€ π‡π€π”πŠπ”π‰π”π€, 𝐔𝐉𝐔𝐄 π‡πˆπ•πˆ....!!!

𝑡𝒂. 𝑱𝒐𝒉𝒏-π‘©π’‚π’‘π’•π’Šπ’”π’• 𝑴. π‘΅π’ˆπ’‚π’•π’–π’π’ˆπ’‚
_______________________
Ili unielewe nitakachoongea hapa, unatakiwa uwe Mtulivu wa akili badala ya kutegemea tu D mbili. Maana unaweza ukawa na D 2 zako halafu nikaishia tu kukuchanganya.

Iko hivi, 1% tu ya Watu wote ndio Wanaongoza Dunia; 4% Vibaraka; 90% Wamelala; 5% Wanaujua ukweli na wanawaamsha 90% waliolala. Lakin 1% wanawatumia 4% kuwazuia 5% wasiwaamshe 90%

Umenielewa? Inawezekana haujanielewa kwasababu pengine na wewe ni miongoni mwa 90% ya waliolala. Twende taratibu maana nataka nikuamshe usiendelee kulala. Naomba usikate tamaa, tueleweshane.

1% π‘Ύπ’‚π’π’‚π’π’π’π’ˆπ’π’›π’‚ π‘«π’–π’π’Šπ’‚
Ni Asilimia moja (1%) tu ya Watu wote Duniani ndio wanaoiongoza hii Dunia. Ukweli huu unamaana kwamba, Asilimia Tisini na Tisa (99%) ya watu wote Duniani wanaongozwa na kundi ndogo sana la watu ambao ni Asilimia moja (1%) tu. Hawa ni Viongozi na Watawala.

Wanaweza kuwa ni Viongozi wa Kisiasa, Kiserikali, Kidini, Kijamii na Kiraia na katika nyanjazingine zote za Maisha ya kibinadamu. Kifupi ni kwamba, hawa ndio Viongozi wetu wanaotuongoza kwenye Jamii zetu.

Lakini pia yanaweza kuwa Makundi ya watu au Nchi zilizoendelea Kiuchumia, Kisiasa na Kijamii. Wanaweza kuwa Wafanyabiashara au Matajiri au watu walioushikiria, kuuongoza na kuuendesha Uchumia wa Dunia.

4% π‘½π’Šπ’ƒπ’‚π’“π’‚π’Œπ’‚
Hawa wanaweza wale tunaowaita Mtaani kwetu kama 'π‘΄π’‚π’„π’‰π’‚π’˜π’‚' wa Viongozi au Watawala. Au kwa Kipare cha kule kwetu Ugweno tunawaita '𝑷𝒖𝒑𝒑𝒆𝒕𝒔'. Ndio wale ambao wanayaendesha maisha yao kwa kutegemea kujipendekeza kwa Viongozi, kutegemea fadhila za Viongozi au Watawala. Ndio Watumishi wa viongozi wanaotumiwa kwa Maslahi ya Kiuongozi ya viongozi au Maslahi binafsi ya viongozi.

Hapa wapo hao Machawa, baadhi ya Watumishi wa Jeshi la polisi au baadhi ya watumishiwa Vyombo vingine vya Dola, Watumishi wa Umma, Vijana wanaotegemea Fadhila za Uteuzi, ajira, wapiga Mapambio, wafuasi, mashabiki, wafuata upepo wa Viongozi, wanazi, 'waliokunywa maji ya bendera', makada, wafia dini, na wengine wanaofanana nao.

90% π‘Ύπ’‚π’Žπ’†π’π’‚π’π’‚
Hawa ndio watu ambao wamelala, wamezubaa, hawajui kinachoendelea. Ni wajinga wasiojua kinachoendelea. Wapo kwenye Giza la Ujinga na Dimbwi la kukosa Maarifa. Wanafichwa ukweli wa mambo yanavyoendeshwa na Viongozi. Na hawajishughulishi kuamka usingizini mwao.

Hawa ndio ambao Viongozi wanautumia Usingizi (Ujinga) wao kufanya Mambo yao ya hovyo kwasababu sio tu kwamba wapo Usingizini lakini pia hata wao wenyewe hawajui kama wapo usingizi. Ni Wajinga wasiojua kama wao ni Wajinga; wala hawajui wafanye nini kuondokana na ujinga wao.

Ni mbwa wasiokuwa na meno. Wapo usingizini wamelala usingizi; na usingizi wao hauna hata Ndoto. Ni wajinga ambao hawaijui thamani ya umoja wao, hawaijui nguvu yao kama umma. Hawajui kama wao ni wengi sana kuliko kundi lingine lolote lile. Hawaijui thamani za nguvu ya kura zao wanazozipiga kuwachagua viongozi na kuwaweka Madarakani.

Hawa sio Wafu kwamba hawaamki hata kama wakiamshwa maana hawajafa. Namaanisha sio Wapumbavu kwamba hata wakielimishwa hawaelimiko. Ni wajinga tu walioko usingizini.

Na Ujinga wao ndio unaowafanya viongozi wao wautumie kama Mtaji wa kuendelea kuwatawala. Hawajui kuwa Jeuri na Uongozi au Mamlaka zote walizonazo Viongozi wao yanatoka kwako. Hawazijui Haki zao. Hawajui kuwa rasilimali za Taifa lao zinaliwa na watu wachache (1% ) ambao ndio viongizi.

Hawa ni Waoga wanaoogopa hata kutoka usingizi ili wauone mwanga wa kuzifanya akili zao zifanye kazi na kuujua udhalimu wa Viongozi wao.

Hawayajui Maovu ya Viongozi wao. Hawaujui ukweli wa mambo yanayofanywa na Viongozi wao. Hawa ndio "Wajinga ndio waliwao, na wanaliwa na Viongozi kwa ujinga wa wajinga".

5% 𝑾𝒂𝒏𝒂𝒖𝒋𝒖𝒂 π’–π’Œπ’˜π’†π’π’Š 𝒏𝒂 π‘Ύπ’‚π’π’‚π’˜π’‚π’‚π’Žπ’”π’‰π’‚ 90%
Hawa ndio Walimu, Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati, Asasi za Kijamii na Kiraia, Wasanii, watu Maarufu na wenye Ushawishi katika jamii, Wanasheria, Wanazuoni. Wanajua kila kitu kibaya na kizuri kinachofanywa na Viongozi wao. Wameshika Tochi yenye Mwanga (Elimu).

Mwanafalsafa Nguli wa Kiyunani (Kigiriki) Socrates (470-399 B.C) anaulinganisha "Ukweli = Maarifa = Mwanga". Ndio asili ya Msemo, "Elimu ni Mwanga." Hawa wana Maarifa ya kutosha kuhusu kinachoendelea duniani. Kwa vile hawako usingizi, ni rahisi sana kwao kuujua ukweli.

Hili ni kundi ambalo ni Tishio sana kwa Viongozi (1%) kwasababu wanaujua ukweli kuhusu Maovu ya Viongozi. Kutokana kuujua ukweli, wanahangaika kwa kila namna kuwaamsha wale 90% waliolala. Yaani Wanawaelimisha 90% ili watoke usingizi waujue ukweli, wajue kuwa wanaibiwa na Viongozi wao.

Hili ndilo kundi linaloogopwa na Viongozi na Watawala wote waovu duniani. Ndilo kundi linaloongoza kwa kuuawa, kutekwa, kuteswa, kunyanyaswa, kubambikiziwa kesi na kufunguliwa Mashtaka ya Uongo. Ndio hawa ambao wengi wao huitwa wazushi, wachonganishi, wachochezi, waanzisha vurugu, wasiolitakia mema Taifa, nk.

Tabaka lolote Tawala au Utawala wowote wa Kidikteta haujawahi kuwa na Urafiki na hili Kundi la 5% ambao wanaujua ukweli kuhusu Uovu wao. Viongozi wote waovu duniani huwa wanatumia kila namna na njia ovu ya 'kuwanyamazisha' hawa.

Baada ya kukufafanulia na kuelewa, sasa nakuuliza: Wewe upo kwenye kundi gani: Umo miongoni mwa 1% wanaoongoza Dunia, 4% ambao ni Vibaraka wa 1% wanaoongoza dunia au umo miongoni mwa 90% ambao wamelala au wewe ni wale 5% wanaujua ukweli na wanawaamsha 90% waliolala?
 
𝐅𝐀𝐋𝐒𝐀𝐅𝐀: πŠπ€πŒπ€ π‡π€π”πŠπ”π‰π”π€, 𝐔𝐉𝐔𝐄 π‡πˆπ•πˆ....!!!

𝑡𝒂. 𝑱𝒐𝒉𝒏-π‘©π’‚π’‘π’•π’Šπ’”π’• 𝑴. π‘΅π’ˆπ’‚π’•π’–π’π’ˆπ’‚
_______________________
Ili unielewe nitakachoongea hapa, unatakiwa uwe Mtulivu wa akili badala ya kutegemea tu D mbili. Maana unaweza ukawa na D 2 zako halafu nikaishia tu kukuchanganya.

Iko hivi, 1% tu ya Watu wote ndio Wanaongoza Dunia; 4% Vibaraka; 90% Wamelala; 5% Wanaujua ukweli na wanawaamsha 90% waliolala. Lakin 1% wanawatumia 4% kuwazuia 5% wasiwaamshe 90%

Umenielewa? Inawezekana haujanielewa kwasababu pengine na wewe ni miongoni mwa 90% ya waliolala. Twende taratibu maana nataka nikuamshe usiendelee kulala. Naomba usikate tamaa, tueleweshane.

1% π‘Ύπ’‚π’π’‚π’π’π’π’ˆπ’π’›π’‚ π‘«π’–π’π’Šπ’‚
Ni Asilimia moja (1%) tu ya Watu wote Duniani ndio wanaoiongoza hii Dunia. Ukweli huu unamaana kwamba, Asilimia Tisini na Tisa (99%) ya watu wote Duniani wanaongozwa na kundi ndogo sana la watu ambao ni Asilimia moja (1%) tu. Hawa ni Viongozi na Watawala.

Wanaweza kuwa ni Viongozi wa Kisiasa, Kiserikali, Kidini, Kijamii na Kiraia na katika nyanjazingine zote za Maisha ya kibinadamu. Kifupi ni kwamba, hawa ndio Viongozi wetu wanaotuongoza kwenye Jamii zetu.

Lakini pia yanaweza kuwa Makundi ya watu au Nchi zilizoendelea Kiuchumia, Kisiasa na Kijamii. Wanaweza kuwa Wafanyabiashara au Matajiri au watu walioushikiria, kuuongoza na kuuendesha Uchumia wa Dunia.

4% π‘½π’Šπ’ƒπ’‚π’“π’‚π’Œπ’‚
Hawa wanaweza wale tunaowaita Mtaani kwetu kama 'π‘΄π’‚π’„π’‰π’‚π’˜π’‚' wa Viongozi au Watawala. Au kwa Kipare cha kule kwetu Ugweno tunawaita '𝑷𝒖𝒑𝒑𝒆𝒕𝒔'. Ndio wale ambao wanayaendesha maisha yao kwa kutegemea kujipendekeza kwa Viongozi, kutegemea fadhila za Viongozi au Watawala. Ndio Watumishi wa viongozi wanaotumiwa kwa Maslahi ya Kiuongozi ya viongozi au Maslahi binafsi ya viongozi.

Hapa wapo hao Machawa, baadhi ya Watumishi wa Jeshi la polisi au baadhi ya watumishiwa Vyombo vingine vya Dola, Watumishi wa Umma, Vijana wanaotegemea Fadhila za Uteuzi, ajira, wapiga Mapambio, wafuasi, mashabiki, wafuata upepo wa Viongozi, wanazi, 'waliokunywa maji ya bendera', makada, wafia dini, na wengine wanaofanana nao.

90% π‘Ύπ’‚π’Žπ’†π’π’‚π’π’‚
Hawa ndio watu ambao wamelala, wamezubaa, hawajui kinachoendelea. Ni wajinga wasiojua kinachoendelea. Wapo kwenye Giza la Ujinga na Dimbwi la kukosa Maarifa. Wanafichwa ukweli wa mambo yanavyoendeshwa na Viongozi. Na hawajishughulishi kuamka usingizini mwao.

Hawa ndio ambao Viongozi wanautumia Usingizi (Ujinga) wao kufanya Mambo yao ya hovyo kwasababu sio tu kwamba wapo Usingizini lakini pia hata wao wenyewe hawajui kama wapo usingizi. Ni Wajinga wasiojua kama wao ni Wajinga; wala hawajui wafanye nini kuondokana na ujinga wao.

Ni mbwa wasiokuwa na meno. Wapo usingizini wamelala usingizi; na usingizi wao hauna hata Ndoto. Ni wajinga ambao hawaijui thamani ya umoja wao, hawaijui nguvu yao kama umma. Hawajui kama wao ni wengi sana kuliko kundi lingine lolote lile. Hawaijui thamani za nguvu ya kura zao wanazozipiga kuwachagua viongozi na kuwaweka Madarakani.

Hawa sio Wafu kwamba hawaamki hata kama wakiamshwa maana hawajafa. Namaanisha sio Wapumbavu kwamba hata wakielimishwa hawaelimiko. Ni wajinga tu walioko usingizini.

Na Ujinga wao ndio unaowafanya viongozi wao wautumie kama Mtaji wa kuendelea kuwatawala. Hawajui kuwa Jeuri na Uongozi au Mamlaka zote walizonazo Viongozi wao yanatoka kwako. Hawazijui Haki zao. Hawajui kuwa rasilimali za Taifa lao zinaliwa na watu wachache (1% ) ambao ndio viongizi.

Hawa ni Waoga wanaoogopa hata kutoka usingizi ili wauone mwanga wa kuzifanya akili zao zifanye kazi na kuujua udhalimu wa Viongozi wao.

Hawayajui Maovu ya Viongozi wao. Hawaujui ukweli wa mambo yanayofanywa na Viongozi wao. Hawa ndio "Wajinga ndio waliwao, na wanaliwa na Viongozi kwa ujinga wa wajinga".

5% 𝑾𝒂𝒏𝒂𝒖𝒋𝒖𝒂 π’–π’Œπ’˜π’†π’π’Š 𝒏𝒂 π‘Ύπ’‚π’π’‚π’˜π’‚π’‚π’Žπ’”π’‰π’‚ 90%
Hawa ndio Walimu, Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati, Asasi za Kijamii na Kiraia, Wasanii, watu Maarufu na wenye Ushawishi katika jamii, Wanasheria, Wanazuoni. Wanajua kila kitu kibaya na kizuri kinachofanywa na Viongozi wao. Wameshika Tochi yenye Mwanga (Elimu).

Mwanafalsafa Nguli wa Kiyunani (Kigiriki) Socrates (470-399 B.C) anaulinganisha "Ukweli = Maarifa = Mwanga". Ndio asili ya Msemo, "Elimu ni Mwanga." Hawa wana Maarifa ya kutosha kuhusu kinachoendelea duniani. Kwa vile hawako usingizi, ni rahisi sana kwao kuujua ukweli.

Hili ni kundi ambalo ni Tishio sana kwa Viongozi (1%) kwasababu wanaujua ukweli kuhusu Maovu ya Viongozi. Kutokana kuujua ukweli, wanahangaika kwa kila namna kuwaamsha wale 90% waliolala. Yaani Wanawaelimisha 90% ili watoke usingizi waujue ukweli, wajue kuwa wanaibiwa na Viongozi wao.

Hili ndilo kundi linaloogopwa na Viongozi na Watawala wote waovu duniani. Ndilo kundi linaloongoza kwa kuuawa, kutekwa, kuteswa, kunyanyaswa, kubambikiziwa kesi na kufunguliwa Mashtaka ya Uongo. Ndio hawa ambao wengi wao huitwa wazushi, wachonganishi, wachochezi, waanzisha vurugu, wasiolitakia mema Taifa, nk.

Tabaka lolote Tawala au Utawala wowote wa Kidikteta haujawahi kuwa na Urafiki na hili Kundi la 5% ambao wanaujua ukweli kuhusu Uovu wao. Viongozi wote waovu duniani huwa wanatumia kila namna na njia ovu ya 'kuwanyamazisha' hawa.

Baada ya kukufafanulia na kuelewa, sasa nakuuliza: Wewe upo kwenye kundi gani: Umo miongoni mwa 1% wanaoongoza Dunia, 4% ambao ni Vibaraka wa 1% wanaoongoza dunia au umo miongoni mwa 90% ambao wamelala au wewe ni wale 5% wanaujua ukweli na wanawaamsha 90% waliolala?
Hao 5 % wanafanya kazi nzito sana. Na ndio kundi kinapigwa vita kuliko kawaida
 
Kwa hiyo waonewe huruma na kuongezwa ujira wao?
Tatizo si ujira au kuonewa huruma. Na hili si lengo lao, kuamsha 90% ya watu si kazi rahisi, 1% wanawapiga kwa nguvu zote maana wanaujua ukweli.
Changamoto ni kwamba 1% wana resources at their disposal, wanatumia watakavyo kwa manufaa yao si kwa manufaa ya 90%
Na yoyote atakae tishia ustawi wao (5%) wata deal nae
 
Mimi niko kundi la asilimia 5 kwenye kundi la wanaoujua ukweli ndiyo maana sitakuja kuiunga mkono CCM wala kukubali kununuliwa na Viongozi wao nitapambana daima mpaka siku ninayoingia kaburini
 
𝐅𝐀𝐋𝐒𝐀𝐅𝐀: πŠπ€πŒπ€ π‡π€π”πŠπ”π‰π”π€, 𝐔𝐉𝐔𝐄 π‡πˆπ•πˆ....!!!

𝑡𝒂. 𝑱𝒐𝒉𝒏-π‘©π’‚π’‘π’•π’Šπ’”π’• 𝑴. π‘΅π’ˆπ’‚π’•π’–π’π’ˆπ’‚
_______________________
Ili unielewe nitakachoongea hapa, unatakiwa uwe Mtulivu wa akili badala ya kutegemea tu D mbili. Maana unaweza ukawa na D 2 zako halafu nikaishia tu kukuchanganya.

Iko hivi, 1% tu ya Watu wote ndio Wanaongoza Dunia; 4% Vibaraka; 90% Wamelala; 5% Wanaujua ukweli na wanawaamsha 90% waliolala. Lakin 1% wanawatumia 4% kuwazuia 5% wasiwaamshe 90%

Umenielewa? Inawezekana haujanielewa kwasababu pengine na wewe ni miongoni mwa 90% ya waliolala. Twende taratibu maana nataka nikuamshe usiendelee kulala. Naomba usikate tamaa, tueleweshane.

1% π‘Ύπ’‚π’π’‚π’π’π’π’ˆπ’π’›π’‚ π‘«π’–π’π’Šπ’‚
Ni Asilimia moja (1%) tu ya Watu wote Duniani ndio wanaoiongoza hii Dunia. Ukweli huu unamaana kwamba, Asilimia Tisini na Tisa (99%) ya watu wote Duniani wanaongozwa na kundi ndogo sana la watu ambao ni Asilimia moja (1%) tu. Hawa ni Viongozi na Watawala.

Wanaweza kuwa ni Viongozi wa Kisiasa, Kiserikali, Kidini, Kijamii na Kiraia na katika nyanjazingine zote za Maisha ya kibinadamu. Kifupi ni kwamba, hawa ndio Viongozi wetu wanaotuongoza kwenye Jamii zetu.

Lakini pia yanaweza kuwa Makundi ya watu au Nchi zilizoendelea Kiuchumia, Kisiasa na Kijamii. Wanaweza kuwa Wafanyabiashara au Matajiri au watu walioushikiria, kuuongoza na kuuendesha Uchumia wa Dunia.

4% π‘½π’Šπ’ƒπ’‚π’“π’‚π’Œπ’‚
Hawa wanaweza wale tunaowaita Mtaani kwetu kama 'π‘΄π’‚π’„π’‰π’‚π’˜π’‚' wa Viongozi au Watawala. Au kwa Kipare cha kule kwetu Ugweno tunawaita '𝑷𝒖𝒑𝒑𝒆𝒕𝒔'. Ndio wale ambao wanayaendesha maisha yao kwa kutegemea kujipendekeza kwa Viongozi, kutegemea fadhila za Viongozi au Watawala. Ndio Watumishi wa viongozi wanaotumiwa kwa Maslahi ya Kiuongozi ya viongozi au Maslahi binafsi ya viongozi.

Hapa wapo hao Machawa, baadhi ya Watumishi wa Jeshi la polisi au baadhi ya watumishiwa Vyombo vingine vya Dola, Watumishi wa Umma, Vijana wanaotegemea Fadhila za Uteuzi, ajira, wapiga Mapambio, wafuasi, mashabiki, wafuata upepo wa Viongozi, wanazi, 'waliokunywa maji ya bendera', makada, wafia dini, na wengine wanaofanana nao.

90% π‘Ύπ’‚π’Žπ’†π’π’‚π’π’‚
Hawa ndio watu ambao wamelala, wamezubaa, hawajui kinachoendelea. Ni wajinga wasiojua kinachoendelea. Wapo kwenye Giza la Ujinga na Dimbwi la kukosa Maarifa. Wanafichwa ukweli wa mambo yanavyoendeshwa na Viongozi. Na hawajishughulishi kuamka usingizini mwao.

Hawa ndio ambao Viongozi wanautumia Usingizi (Ujinga) wao kufanya Mambo yao ya hovyo kwasababu sio tu kwamba wapo Usingizini lakini pia hata wao wenyewe hawajui kama wapo usingizi. Ni Wajinga wasiojua kama wao ni Wajinga; wala hawajui wafanye nini kuondokana na ujinga wao.

Ni mbwa wasiokuwa na meno. Wapo usingizini wamelala usingizi; na usingizi wao hauna hata Ndoto. Ni wajinga ambao hawaijui thamani ya umoja wao, hawaijui nguvu yao kama umma. Hawajui kama wao ni wengi sana kuliko kundi lingine lolote lile. Hawaijui thamani za nguvu ya kura zao wanazozipiga kuwachagua viongozi na kuwaweka Madarakani.

Hawa sio Wafu kwamba hawaamki hata kama wakiamshwa maana hawajafa. Namaanisha sio Wapumbavu kwamba hata wakielimishwa hawaelimiko. Ni wajinga tu walioko usingizini.

Na Ujinga wao ndio unaowafanya viongozi wao wautumie kama Mtaji wa kuendelea kuwatawala. Hawajui kuwa Jeuri na Uongozi au Mamlaka zote walizonazo Viongozi wao yanatoka kwako. Hawazijui Haki zao. Hawajui kuwa rasilimali za Taifa lao zinaliwa na watu wachache (1% ) ambao ndio viongizi.

Hawa ni Waoga wanaoogopa hata kutoka usingizi ili wauone mwanga wa kuzifanya akili zao zifanye kazi na kuujua udhalimu wa Viongozi wao.

Hawayajui Maovu ya Viongozi wao. Hawaujui ukweli wa mambo yanayofanywa na Viongozi wao. Hawa ndio "Wajinga ndio waliwao, na wanaliwa na Viongozi kwa ujinga wa wajinga".

5% 𝑾𝒂𝒏𝒂𝒖𝒋𝒖𝒂 π’–π’Œπ’˜π’†π’π’Š 𝒏𝒂 π‘Ύπ’‚π’π’‚π’˜π’‚π’‚π’Žπ’”π’‰π’‚ 90%
Hawa ndio Walimu, Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati, Asasi za Kijamii na Kiraia, Wasanii, watu Maarufu na wenye Ushawishi katika jamii, Wanasheria, Wanazuoni. Wanajua kila kitu kibaya na kizuri kinachofanywa na Viongozi wao. Wameshika Tochi yenye Mwanga (Elimu).

Mwanafalsafa Nguli wa Kiyunani (Kigiriki) Socrates (470-399 B.C) anaulinganisha "Ukweli = Maarifa = Mwanga". Ndio asili ya Msemo, "Elimu ni Mwanga." Hawa wana Maarifa ya kutosha kuhusu kinachoendelea duniani. Kwa vile hawako usingizi, ni rahisi sana kwao kuujua ukweli.

Hili ni kundi ambalo ni Tishio sana kwa Viongozi (1%) kwasababu wanaujua ukweli kuhusu Maovu ya Viongozi. Kutokana kuujua ukweli, wanahangaika kwa kila namna kuwaamsha wale 90% waliolala. Yaani Wanawaelimisha 90% ili watoke usingizi waujue ukweli, wajue kuwa wanaibiwa na Viongozi wao.

Hili ndilo kundi linaloogopwa na Viongozi na Watawala wote waovu duniani. Ndilo kundi linaloongoza kwa kuuawa, kutekwa, kuteswa, kunyanyaswa, kubambikiziwa kesi na kufunguliwa Mashtaka ya Uongo. Ndio hawa ambao wengi wao huitwa wazushi, wachonganishi, wachochezi, waanzisha vurugu, wasiolitakia mema Taifa, nk.

Tabaka lolote Tawala au Utawala wowote wa Kidikteta haujawahi kuwa na Urafiki na hili Kundi la 5% ambao wanaujua ukweli kuhusu Uovu wao. Viongozi wote waovu duniani huwa wanatumia kila namna na njia ovu ya 'kuwanyamazisha' hawa.

Baada ya kukufafanulia na kuelewa, sasa nakuuliza: Wewe upo kwenye kundi gani: Umo miongoni mwa 1% wanaoongoza Dunia, 4% ambao ni Vibaraka wa 1% wanaoongoza dunia au umo miongoni mwa 90% ambao wamelala au wewe ni wale 5% wanaujua ukweli na wanawaamsha 90% waliolala?
Mimi nipo kule kwa waliopo
 
Binafsi naona hili andiko linatulenga zaidi Watanzania na sio Dunia yote kwa ujumla...hapo Kenya tu kwa majirani ni ushahidi tosha kwamba hiyo 5% unayoisemea wao nadhani itakuwa ni 50%!.
 
Ubaya ni kuwa kwenye hiyo 5% wako wengi wasiojielewa mfano walimu wengi ni zero
 
Ubaya ni kuwa kwenye hiyo 5% wako wengi wasiojielewa mfano walimu wengi ni zero
Nimekupa kiongozi, Kweli walimu wengi bado wanaukungu wa ubongo. Lakini swala la kujitambua na kuwa fikra za kimapinduzi halina mahusiano direct na banking education system tunayopewa
 
𝐅𝐀𝐋𝐒𝐀𝐅𝐀: πŠπ€πŒπ€ π‡π€π”πŠπ”π‰π”π€, 𝐔𝐉𝐔𝐄 π‡πˆπ•πˆ....!!!

𝑡𝒂. 𝑱𝒐𝒉𝒏-π‘©π’‚π’‘π’•π’Šπ’”π’• 𝑴. π‘΅π’ˆπ’‚π’•π’–π’π’ˆπ’‚
_______________________
Ili unielewe nitakachoongea hapa, unatakiwa uwe Mtulivu wa akili badala ya kutegemea tu D mbili. Maana unaweza ukawa na D 2 zako halafu nikaishia tu kukuchanganya.

Iko hivi, 1% tu ya Watu wote ndio Wanaongoza Dunia; 4% Vibaraka; 90% Wamelala; 5% Wanaujua ukweli na wanawaamsha 90% waliolala. Lakin 1% wanawatumia 4% kuwazuia 5% wasiwaamshe 90%

Umenielewa? Inawezekana haujanielewa kwasababu pengine na wewe ni miongoni mwa 90% ya waliolala. Twende taratibu maana nataka nikuamshe usiendelee kulala. Naomba usikate tamaa, tueleweshane.

1% π‘Ύπ’‚π’π’‚π’π’π’π’ˆπ’π’›π’‚ π‘«π’–π’π’Šπ’‚
Ni Asilimia moja (1%) tu ya Watu wote Duniani ndio wanaoiongoza hii Dunia. Ukweli huu unamaana kwamba, Asilimia Tisini na Tisa (99%) ya watu wote Duniani wanaongozwa na kundi ndogo sana la watu ambao ni Asilimia moja (1%) tu. Hawa ni Viongozi na Watawala.

Wanaweza kuwa ni Viongozi wa Kisiasa, Kiserikali, Kidini, Kijamii na Kiraia na katika nyanjazingine zote za Maisha ya kibinadamu. Kifupi ni kwamba, hawa ndio Viongozi wetu wanaotuongoza kwenye Jamii zetu.

Lakini pia yanaweza kuwa Makundi ya watu au Nchi zilizoendelea Kiuchumia, Kisiasa na Kijamii. Wanaweza kuwa Wafanyabiashara au Matajiri au watu walioushikiria, kuuongoza na kuuendesha Uchumia wa Dunia.

4% π‘½π’Šπ’ƒπ’‚π’“π’‚π’Œπ’‚
Hawa wanaweza wale tunaowaita Mtaani kwetu kama 'π‘΄π’‚π’„π’‰π’‚π’˜π’‚' wa Viongozi au Watawala. Au kwa Kipare cha kule kwetu Ugweno tunawaita '𝑷𝒖𝒑𝒑𝒆𝒕𝒔'. Ndio wale ambao wanayaendesha maisha yao kwa kutegemea kujipendekeza kwa Viongozi, kutegemea fadhila za Viongozi au Watawala. Ndio Watumishi wa viongozi wanaotumiwa kwa Maslahi ya Kiuongozi ya viongozi au Maslahi binafsi ya viongozi.

Hapa wapo hao Machawa, baadhi ya Watumishi wa Jeshi la polisi au baadhi ya watumishiwa Vyombo vingine vya Dola, Watumishi wa Umma, Vijana wanaotegemea Fadhila za Uteuzi, ajira, wapiga Mapambio, wafuasi, mashabiki, wafuata upepo wa Viongozi, wanazi, 'waliokunywa maji ya bendera', makada, wafia dini, na wengine wanaofanana nao.

90% π‘Ύπ’‚π’Žπ’†π’π’‚π’π’‚
Hawa ndio watu ambao wamelala, wamezubaa, hawajui kinachoendelea. Ni wajinga wasiojua kinachoendelea. Wapo kwenye Giza la Ujinga na Dimbwi la kukosa Maarifa. Wanafichwa ukweli wa mambo yanavyoendeshwa na Viongozi. Na hawajishughulishi kuamka usingizini mwao.

Hawa ndio ambao Viongozi wanautumia Usingizi (Ujinga) wao kufanya Mambo yao ya hovyo kwasababu sio tu kwamba wapo Usingizini lakini pia hata wao wenyewe hawajui kama wapo usingizi. Ni Wajinga wasiojua kama wao ni Wajinga; wala hawajui wafanye nini kuondokana na ujinga wao.

Ni mbwa wasiokuwa na meno. Wapo usingizini wamelala usingizi; na usingizi wao hauna hata Ndoto. Ni wajinga ambao hawaijui thamani ya umoja wao, hawaijui nguvu yao kama umma. Hawajui kama wao ni wengi sana kuliko kundi lingine lolote lile. Hawaijui thamani za nguvu ya kura zao wanazozipiga kuwachagua viongozi na kuwaweka Madarakani.

Hawa sio Wafu kwamba hawaamki hata kama wakiamshwa maana hawajafa. Namaanisha sio Wapumbavu kwamba hata wakielimishwa hawaelimiko. Ni wajinga tu walioko usingizini.

Na Ujinga wao ndio unaowafanya viongozi wao wautumie kama Mtaji wa kuendelea kuwatawala. Hawajui kuwa Jeuri na Uongozi au Mamlaka zote walizonazo Viongozi wao yanatoka kwako. Hawazijui Haki zao. Hawajui kuwa rasilimali za Taifa lao zinaliwa na watu wachache (1% ) ambao ndio viongizi.

Hawa ni Waoga wanaoogopa hata kutoka usingizi ili wauone mwanga wa kuzifanya akili zao zifanye kazi na kuujua udhalimu wa Viongozi wao.

Hawayajui Maovu ya Viongozi wao. Hawaujui ukweli wa mambo yanayofanywa na Viongozi wao. Hawa ndio "Wajinga ndio waliwao, na wanaliwa na Viongozi kwa ujinga wa wajinga".

5% 𝑾𝒂𝒏𝒂𝒖𝒋𝒖𝒂 π’–π’Œπ’˜π’†π’π’Š 𝒏𝒂 π‘Ύπ’‚π’π’‚π’˜π’‚π’‚π’Žπ’”π’‰π’‚ 90%
Hawa ndio Walimu, Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati, Asasi za Kijamii na Kiraia, Wasanii, watu Maarufu na wenye Ushawishi katika jamii, Wanasheria, Wanazuoni. Wanajua kila kitu kibaya na kizuri kinachofanywa na Viongozi wao. Wameshika Tochi yenye Mwanga (Elimu).

Mwanafalsafa Nguli wa Kiyunani (Kigiriki) Socrates (470-399 B.C) anaulinganisha "Ukweli = Maarifa = Mwanga". Ndio asili ya Msemo, "Elimu ni Mwanga." Hawa wana Maarifa ya kutosha kuhusu kinachoendelea duniani. Kwa vile hawako usingizi, ni rahisi sana kwao kuujua ukweli.

Hili ni kundi ambalo ni Tishio sana kwa Viongozi (1%) kwasababu wanaujua ukweli kuhusu Maovu ya Viongozi. Kutokana kuujua ukweli, wanahangaika kwa kila namna kuwaamsha wale 90% waliolala. Yaani Wanawaelimisha 90% ili watoke usingizi waujue ukweli, wajue kuwa wanaibiwa na Viongozi wao.

Hili ndilo kundi linaloogopwa na Viongozi na Watawala wote waovu duniani. Ndilo kundi linaloongoza kwa kuuawa, kutekwa, kuteswa, kunyanyaswa, kubambikiziwa kesi na kufunguliwa Mashtaka ya Uongo. Ndio hawa ambao wengi wao huitwa wazushi, wachonganishi, wachochezi, waanzisha vurugu, wasiolitakia mema Taifa, nk.

Tabaka lolote Tawala au Utawala wowote wa Kidikteta haujawahi kuwa na Urafiki na hili Kundi la 5% ambao wanaujua ukweli kuhusu Uovu wao. Viongozi wote waovu duniani huwa wanatumia kila namna na njia ovu ya 'kuwanyamazisha' hawa.

Baada ya kukufafanulia na kuelewa, sasa nakuuliza: Wewe upo kwenye kundi gani: Umo miongoni mwa 1% wanaoongoza Dunia, 4% ambao ni Vibaraka wa 1% wanaoongoza dunia au umo miongoni mwa 90%ambaowamelala au wewe ni wale 5% wanaujua ukweli na wanawaamsha 90% waliolala?
Umeandika kwa hesabu Sana hao 1%
Nikama Simba mbugani

Na hao 90%
Nikama nyumbu mbugani
Wavamiwapo na Simba hukimbia hovyo na hata mmoja wao aliwapo hubaki kumshangaa badara ya kumsaidia

Mwisho wa siku Simba huutumia udhaifu huo kuwa vamia na kuwala Kila siku
 
Lux et veritas

1% kwa uwezo,nguvu na ushawishi walionao ni wazalishaji( producers) na wawekezaji

99% ni walaji (consumer),watumiaji tu hawajui kuzalisha ila wanajua kujikimu tu.

1% wanayo mamlaka ya kuamua chochote kuhusu 99%

Kwa mfano, unaweza kuwa ukweli pia. 1% wakiamua watu waendelee kulala na kutojitambua wanatumii bidhaa zinazopendwa na wanazotumia walaji kutimiza malengo yao ya muda mrefu na mfupi. Bidhaa kama sukari, chumvi, mafuta ya kula, vinywaji baridi, pombe hata maji ya kunywa yanaweza kutumika. Pia wanatumia michezo kama soka, kamari ili walaji waendelee kulala

5% Hawa wanafahamu ukweli na hawajalala wanauwezo wa kujizuia mfano wasitumie pombe, wasijishughulishe na soka,kamari,kubeti n.k

1% wanatumia main stream media au vyombo vyao vya habari kuwahadaa watu na wanafanikiwa, fuatilia habari nyingi zinazotangazwa ni habari mbaya zenye lengo la kudumaza fikra na zenye kusababisha msongo wa mawazo na sonana hatimaye watu wanakosa furaha.

Nguvu ya habari katika mwili ipo hivi,, ukipata habari mbaya vichocheo au hormone za msongo zinazalishwa kwa wingi baada ya ubongo kupata taarifa na inapelekea watu kukosa furaha. Vichocheo vya furaha kama dopamine, serotonin na nyinginezo zikipungua uwezo wa kufikiria, kufanya maamuzi pia unapungua au kuwa duni.

Lux et veritas
 
Binafsi naona hili andiko linatulenga zaidi Watanzania na sio Dunia yote kwa ujumla...hapo Kenya tu kwa majirani ni ushahidi tosha kwamba hiyo 5% unayoisemea wao nadhani itakuwa ni 50%!.
Kweli... kwa kenya hii haiwahusu kabisa 🀣
 
Back
Top Bottom