KHM 1995
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 461
- 729
Falsafa ni kitu cha msingi kwa mwanadamu.
Falsafa inamtengenezea mtu platform ya kuwin challenge yoyote inayomuijia mbele yake,maana tunaamini njia bora zaidi kuishinda changamoto ni kuifata ili upambane nayo,maana ukiikimbia itabaki vile ilivyo na bado itakufukuzia kwa nyuma hadi ikupate, solution unapaswa uitatue.
Kila mwanadamu katika kila hatua moja anayopiga anapaswa kujifunza, maana system zetu zinakuwa programmed ,kila hatua tunayofanya mind zetu zinakuwa zimemark maana pindi unapotaka kufanya application ya something, hapo unarefer by experience.
Itaendelea..
Falsafa inamtengenezea mtu platform ya kuwin challenge yoyote inayomuijia mbele yake,maana tunaamini njia bora zaidi kuishinda changamoto ni kuifata ili upambane nayo,maana ukiikimbia itabaki vile ilivyo na bado itakufukuzia kwa nyuma hadi ikupate, solution unapaswa uitatue.
Kila mwanadamu katika kila hatua moja anayopiga anapaswa kujifunza, maana system zetu zinakuwa programmed ,kila hatua tunayofanya mind zetu zinakuwa zimemark maana pindi unapotaka kufanya application ya something, hapo unarefer by experience.
Itaendelea..