Falviana Matata vs Jokate Mwegelo

Tigga Mumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2010
Posts
746
Reaction score
473
Hawa wadada wote wana public figure inayopendeza. Mimi naona Flaviana Matata amemzidi Jokate kwa vitu vingi. E.g. Exposure, muonekano katika jamii even pesa. Jokate amemzidi Flaviana Elimu, urembo kiasi labda na kashfa za "Diamond na Wema."

Je wewe kwa maoni yako unaonaje?
 
Mbona unatoa majibu sasa? Uta bias watu!! Acha watu watoe mtazamo waoooooo!! Kwangu mie Flav overall best.
 
Ndo kina nani hawa???

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
watu kwa kuangalizia majibu, kwa sababu mchangiaji wa kwanza kasema ndo wakina nani, basi waliofuata wote wanaanngalizia, kuweka mlenda na kuteleza tu
 
Leo saa 3 usiku angalia Star TV kipindi cha BBC Flaviana Matata atakuwa anafanyiwa interview.
 
Jokate ana maji mengi lakini flaviani mkavu. Jokate hana matiti ana kifua kama chako mtoa mada, wakati flavian chuchu saa sita. Pia jokate anagongwa na darasa la saba(dimnd) ilihali flavian anagongwa na wenye elimu.
 
watu kwa kuangalizia majibu, kwa sababu mchangiaji wa kwanza kasema ndo wakina nani, basi waliofuata wote wanaanngalizia, kuweka mlenda na kuteleza tu

Hahaaaaa mambo ya kuweka povu la sabuni kwenye tiles na kukanyagia na ganda la ndizi,sisi tumewatukuza tunawaita vi***a
 
watu kwa kuangalizia majibu, kwa sababu mchangiaji wa kwanza kasema ndo wakina nani, basi waliofuata wote wanaanngalizia, kuweka mlenda na kuteleza tu

hahaha, hao hata shule walikuwa wanapga chabo.
 

the word 'public figure' does not contain the defination that you exposed on top but you tried to define 'figure' as the 'physical appearence' for some how!
 
the word 'public figure' does not contain the defination that you exposed on top but you tried to define 'figure' as the 'physical appearence' for some how!

Sijamaanisha physical appearance kama public figure
 
flavi yuko juu kipesa, tabia, mwonekano ktk jamii.kw upande wa kikovu huwa anavutiwa na wanaume/watoto wa kiume wenye vipaji, hivyo hujikuta karibu nao then mwisho wa siku lazima awape tunda kwani yeye anavyojua kumnyima mvulana kitu ulichopewa bure ni dhambi, image yake iko tarnished kwenye society kutokana na kugombea wavulana na wasanii wa kibongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…