CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Kuongea Lugha moja ndio moja ya nguzo zinazo wasaidia Wahindi. Wahindi Familia nzima wakikaa huongea Lugha 1 tu. Lugha ninayo zungumzia ni Lugha ya Biashara na si Lugha, Kiswahili au Kichaga au Kisambaaa hapana
WAHINDI
Wahindi biashara anayofanya Baba basi hata watoto ni hiyo hiyo na mama ni hiyo hiyo. Hawa jioni wakikaa wanaweza ongea lugha moja.
Kama Muhindi ana Dilli na Hardware jua kabisa watoto wake na Mke wake nao ni Hardware, hawa wanaweza kaa wakaanza kujadilia bei ya Cement, hawa wanaweza anza kujadili bei ya Nyundo au wafungue sasa kiwanda cha kutengeneza misumari.
Hawa wakiwa Holiday labda wako Serengeti National Park wote wanajadili ishu moja tu Hardware.
Mwaka Jana niliambiwa Tajiri wa Mabasi ya Coast Line alisha fariki, yule Jamaa alikuwa Mwarabu. Baada ya ile taarifa nilivuta Picha ya Basi yake ya Musoma to Arusha kuna wakati Mke wale alikuwa ndio masimamizi wa hiyo route, yaani mke anatoka na Basi Arusha hadi Musoma na anarudi, fikiria yale Mashimo na Vumbi ya Serengeti.
Yule Mama nadhani hakuna asicho jua kuhusu Basi na hata kuhusu fitina zote za Usafiri wa mabasi na nadhani hata Engine anajua kila kitu. Yule mama, natumaini ndio kashika Uongozi na kila kitu kinaenda sawa. Hii ni kwa sababu walikuwa wanaongea Lugha 1. Jioni, wote wanaongea Mabasi, wanajadili waanzishe route ipi kwa sasa.
Kuna pia Wabongo wachache walio fanikiwa kwa hili kwa Mke na Mme na watoto wote kuongea Lugha 1.
MADHARA YA KUONGEA LUGHA TOFAUTI
Hakuna kitu kibaya na kinacho katisha tamaa kama ukute Baba ni Mkulima mkubwa sana ila mama hobby yake ni Urembo, watoto hobby zao wengine ni maduka ya Nguo na wengine ni kazi wamejiriwa. Mzee akiwa nyumbani hana wa kuongea naye kuhusu Kilimo maana mama huko sio Hobby yake.
Hapa mzee akivuta within a month mashamba yanapigwa mnada.
Au Mama ana Hobby ya Ufugaji wa kuku ila mzee hobby yake ni kazi ajira, mnakaa mama anaanzisha mada ya Ufugaji kuku baada ya Dakika kadhaa baba anachomekea kuna nafasi mpya za kazi ngoja niombe.
Biashara nyingi zilizo kufa baada ya waanzilishi kufariki ni kwa sababu ndani ya Familia walikuwa kila mtu na Lugha yake.
Pia kuna Biashara zilizo kufa au mmiliki kufirisika kwa sababu ndani ya Familia hakuna alie kuwa ana muunga mkono maana kila mmoja na Lugha yake.
Hivyo hakuna kitu kizuri kama wote kuwa na Hobby sawa, kwamba kama ni Biashara ya Mabasi basi kuanzia mama hadi watoto wote wanajua mambo ya Mabasi A to Z.
Kama ni Kilimo familia nzima wanajua mambo ya Kilimo A to Z.
Nina ushahidi wa watu walio kuwa wakulima wakubwa na baada ya kufariki watoto wakauza kila kitu hii ni kwa sababu haikuwa hobby yao.
Tuwaige Wahindi na Waarabu kwenye Kuongea Lugha 1 ndani ya Familia
Sent using Jamii Forums mobile app
WAHINDI
Wahindi biashara anayofanya Baba basi hata watoto ni hiyo hiyo na mama ni hiyo hiyo. Hawa jioni wakikaa wanaweza ongea lugha moja.
Kama Muhindi ana Dilli na Hardware jua kabisa watoto wake na Mke wake nao ni Hardware, hawa wanaweza kaa wakaanza kujadilia bei ya Cement, hawa wanaweza anza kujadili bei ya Nyundo au wafungue sasa kiwanda cha kutengeneza misumari.
Hawa wakiwa Holiday labda wako Serengeti National Park wote wanajadili ishu moja tu Hardware.
Mwaka Jana niliambiwa Tajiri wa Mabasi ya Coast Line alisha fariki, yule Jamaa alikuwa Mwarabu. Baada ya ile taarifa nilivuta Picha ya Basi yake ya Musoma to Arusha kuna wakati Mke wale alikuwa ndio masimamizi wa hiyo route, yaani mke anatoka na Basi Arusha hadi Musoma na anarudi, fikiria yale Mashimo na Vumbi ya Serengeti.
Yule Mama nadhani hakuna asicho jua kuhusu Basi na hata kuhusu fitina zote za Usafiri wa mabasi na nadhani hata Engine anajua kila kitu. Yule mama, natumaini ndio kashika Uongozi na kila kitu kinaenda sawa. Hii ni kwa sababu walikuwa wanaongea Lugha 1. Jioni, wote wanaongea Mabasi, wanajadili waanzishe route ipi kwa sasa.
Kuna pia Wabongo wachache walio fanikiwa kwa hili kwa Mke na Mme na watoto wote kuongea Lugha 1.
MADHARA YA KUONGEA LUGHA TOFAUTI
Hakuna kitu kibaya na kinacho katisha tamaa kama ukute Baba ni Mkulima mkubwa sana ila mama hobby yake ni Urembo, watoto hobby zao wengine ni maduka ya Nguo na wengine ni kazi wamejiriwa. Mzee akiwa nyumbani hana wa kuongea naye kuhusu Kilimo maana mama huko sio Hobby yake.
Hapa mzee akivuta within a month mashamba yanapigwa mnada.
Au Mama ana Hobby ya Ufugaji wa kuku ila mzee hobby yake ni kazi ajira, mnakaa mama anaanzisha mada ya Ufugaji kuku baada ya Dakika kadhaa baba anachomekea kuna nafasi mpya za kazi ngoja niombe.
Biashara nyingi zilizo kufa baada ya waanzilishi kufariki ni kwa sababu ndani ya Familia walikuwa kila mtu na Lugha yake.
Pia kuna Biashara zilizo kufa au mmiliki kufirisika kwa sababu ndani ya Familia hakuna alie kuwa ana muunga mkono maana kila mmoja na Lugha yake.
Hivyo hakuna kitu kizuri kama wote kuwa na Hobby sawa, kwamba kama ni Biashara ya Mabasi basi kuanzia mama hadi watoto wote wanajua mambo ya Mabasi A to Z.
Kama ni Kilimo familia nzima wanajua mambo ya Kilimo A to Z.
Nina ushahidi wa watu walio kuwa wakulima wakubwa na baada ya kufariki watoto wakauza kila kitu hii ni kwa sababu haikuwa hobby yao.
Tuwaige Wahindi na Waarabu kwenye Kuongea Lugha 1 ndani ya Familia
Sent using Jamii Forums mobile app