Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tangazo la Meya Mstaafu wa Ubungo hili hapa, Ukisoma Waambie na wengine waliopotelewa na jamaa zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali lako litajibiwa kikamilifu na Mstahiki MstaafuNina swali dogo kama siyo kubwa, nilisoma kwenye tweet yake yule kijana wenu SOKA akisema atatekwa na kweli katekwa!.
Nyie kama chama mlichukua hatua gani hapo kabla ma baada ya kutwekwa hiyo kijana?.
Hakusema atatekwa bali alisema anafuatiliwa so alitoa tahadhari na sio taarifa. Ukisoma unatakiwa uwe unaelewa.Nina swali dogo kama siyo kubwa, nilisoma kwenye tweet yake yule kijana wenu SOKA akisema atatekwa na kweli katekwa!.
Nyie kama chama mlichukua hatua gani hapo kabla ma baada ya kutwekwa hiyo kijana?.
Nina swali dogo kama siyo kubwa, nilisoma kwenye tweet yake yule kijana wenu SOKA akisema atatekwa na kweli katekwa!.
Nyie kama chama mlichukua hatua gani hapo kabla ma baada ya kutwekwa hiyo kijana?.
Hakika..Tatizo wanakamatwa / wanatekwa na vyombo vya ulinzi na usalama.
..Mwananchi hawezi kugoma kukamatwa na vyombo vya usalama.
..Tatizo ni nini kinatokea baada ya mwananchi kukamatwa.
..Mfano mzuri na jinsi Sativa alivyotekwa na kumshikilia ktk vituo vya Polisi vya Oysterbay na Arusha.
..Baada ya kutolewa ktk vituo vya Polisi alipelekwa porini na kupigwa risasi.
..Mpaka sasa hivi serikali haijachukua hatua yoyote, kwasababu wanafahamu kwamba, waliomteka, na kumpiga risasi Sativa, ni watu wao.
Huku kupotea watu katika mazingira ya kutatanisha, si ndiko kuliitwa ni 'DRAMA'?Tangazo la Meya Mstaafu wa Ubungo hili hapa, Ukisoma Waambie na wengine waliopotelewa na jamaa zao
View attachment 3075932
Kwa kweli ni vigumu sana kuamini kwamba mambo haya yanatokea nchini humu, na watu wametulizana kabisa kana kwamba hakuna jambo baya linalofanyika nchini mwao. Wote tume'paralyze' kabisa, sijui kwa woga, au kutojali?..Tatizo wanakamatwa / wanatekwa na vyombo vya ulinzi na usalama.
..Mwananchi hawezi kugoma kukamatwa na vyombo vya usalama.
..Tatizo ni nini kinatokea baada ya mwananchi kukamatwa.
..Mfano mzuri na jinsi Sativa alivyotekwa na kumshikilia ktk vituo vya Polisi vya Oysterbay na Arusha.
..Baada ya kutolewa ktk vituo vya Polisi alipelekwa porini na kupigwa risasi.
..Mpaka sasa hivi serikali haijachukua hatua yoyote, kwasababu wanafahamu kwamba, waliomteka, na kumpiga risasi Sativa, ni watu wao.
Kwa kweli ni vigumu sana kuamini kwamba mambo haya yanatokea nchini humu, na watu wametulizana kabisa kana kwamba hakuna jambo baya linalofanyika nchini mwao. Wote tume'paralyze' kabisa, sijui kwa woga, au kutojali?
..sijui kwanini suala la Sativa halijapewa uzito linaostahili. Lakini kwa maelezo yake waliojaribu kumuua ni watu wa serikali.
..Sativa anadai alitolewa ktk mahabusu ya jeshi la Polisi akapelekwa porini akateswa, akapelekwa eneo lingine akapigwa risasi.
..Kwa maana nyingine rahisi kuwatambua waliomteka na kujaribu kumuua.
..Kwanza, wameacha ushahidi wa mlolongo mrefu wa mawasiliano ya simu baina yao na jamaa zake Sativa.
..Pili, wameacha ushahidi mwingine ktk vituo vya Polisi ambako Sativa alishikiliwa. Sativa aliingizwa na kutolewa na nani ktk vituo vya Polisi? Je, raia wa kawaida anaweza kufanya hivyo?
Chadema ndio MkomboziTangazo la Meya Mstaafu wa Ubungo hili hapa, Ukisoma Waambie na wengine waliopotelewa na jamaa zao
View attachment 3075932
Inasikitisha sana. Lakini si umesikia lwo Lamada huko Geita?Kwa kweli ni vigumu sana kuamini kwamba mambo haya yanatokea nchini humu, na watu wametulizana kabisa kana kwamba hakuna jambo baya linalofanyika nchini mwao. Wote tume'paralyze' kabisa, sijui kwa woga, au kutojali?
Na wa mikoani waje huko?.Tangazo la Meya Mstaafu wa Ubungo hili hapa, Ukisoma Waambie na wengine waliopotelewa na jamaa zao
View attachment 3075932
Kama wanaoenda hivyo miti mibichi na mikavu je?...sijui kwanini suala la Sativa halijapewa uzito linaostahili. Lakini kwa maelezo yake waliojaribu kumuua ni watu wa serikali.
..Sativa anadai alitolewa ktk mahabusu ya jeshi la Polisi akapelekwa porini akateswa, akapelekwa eneo lingine akapigwa risasi.
..Kwa maana nyingine rahisi kuwatambua waliomteka na kujaribu kumuua.
..Kwanza, wameacha ushahidi wa mlolongo mrefu wa mawasiliano ya simu baina yao na jamaa zake Sativa.
..Pili, wameacha ushahidi mwingine ktk vituo vya Polisi ambako Sativa alishikiliwa. Sativa aliingizwa na kutolewa na nani ktk vituo vya Polisi? Je, raia wa kawaida anaweza kufanya hivyo?
Mvumilie, hilo ni tatizo la unyonge unaomfanya mtu afurahie kuitwa chawa. Hata hivyo jibu lako hata lisoma kwani kutwa nzima anasikiliza uchambuzi wa mpira.Hakusema atatekwa bali alisema anafuatiliwa so alitoa tahadhari na sio taarifa. Ukisoma unatakiwa uwe unaelewa.
Kwani polis walichukua hatua gani maana jukumu namba moja la polis ni kulinda raia na Mali zao.Nina swali dogo kama siyo kubwa, nilisoma kwenye tweet yake yule kijana wenu SOKA akisema atatekwa na kweli katekwa!.
Nyie kama chama mlichukua hatua gani hapo kabla ma baada ya kutwekwa hiyo kijana?.
Erythrocyte take precaution Polisi wanaweza kuizingira ofisi unapofanyika mkutano kama walivyofanya mbeya, get prepared for thatTangazo la Meya Mstaafu wa Ubungo hili hapa, Ukisoma Waambie na wengine waliopotelewa na jamaa zao
View attachment 3075932
AsanteErythrocyte take precaution Polisi wanaweza kuizingira ofisi unapofanyika mkutano kama walivyofanya mbeya, get prepared for that
Tutawaandalia utaratibu MaalumNa wa mikoani waje huko?.