Familia ya Diamond Platnumz usemi wa living the dream wanautendea haki kwa kupiga hela kwa kuwapa umbea waswahili

Familia ya Diamond Platnumz usemi wa living the dream wanautendea haki kwa kupiga hela kwa kuwapa umbea waswahili

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Habari wadau..

Diamond Plutnumz japo hajaenda sana shule ila ndio smart boy kulilo wote niliowahi kuwaona Tanzania.

Amekulia Tandale na amekuwa bilionea bila kumuibia mtu, kula rushwa wala kumtapeli mtu..

Ametumia advantage ya watanzania kupenda umbea na nyimbo nzuri kutajirika.

Na katika hiyo safari yake hakuwasahau ndugu zake na familia yake pia. Amewafanya wale raha na bata kwa kuwapa umbea umbea watanzania..

Binafsi ninaamini kila wanachofanya kina Diamond ni planned.

Diamond hata kutongoza hatongozi tu kisa wewe mrembo au mzuri sana. Anakutongoza sababu una swaga za kuongelewa na wambea wambea maana ni hela unaleta. Hata kama anakuhonga mwanamke wake anazirudisha kiurahisi tu..

Fikiria jana tu youtube ameingiza bei gani, huku event ikiwa live Wasafi Tv matangazo kibao na leo siku nzima watu wanamuongelea yeye tu.

Umbea wa wa Tanzania ndio umemtajirisha Erick Shigongo enzi hakuna mitandao. Ameuza sana magazeti ya udaku ijumaa na uwazi kwa habari za umbea umbea tu.

Sasa Diamond anaufanya kwa zama za mitandao kisasa zaidi.

Na anapiga pesa kweli kweli.

Mimi ninapenda mama yake, baba yake, dada zake wote wanamsaidia kuleta hela..

Wasafi tv imeanza juzi tu ila ina matangazo kuliko tv zilizoanza miaka kibao na zingine zinafirisika sababu hazina umbea wa kuvutia watazamaji na makampuni yapeleke matangazo.

Big up sana Diamond
 
Mimi binafsi siku penda ile suti aliye vaa baba yake mzazi na nguzo aliyo vaa Mama yake wa kambo.hayo ndio mapungufu niliyo yaona
 
Mimi binafsi siku penda ile suti aliye vaa baba yake mzazi na nguzo aliyo vaa Mama yake wa kambo.hayo ndio mapungufu niliyo yaona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti baba yake wa kambo
 
saanaaa
Habari wadau..

Diamond Plutnumz japo hajaenda sana shule ila ndio smart boy kulilo wote niliowahi kuwaona Tanzania.

Amekulia Tandale na amekuwa bilionea bila kumuibia mtu, kula rushwa wala kumtapeli mtu..

Ametumia advantage ya watanzania kupenda umbea na nyimbo nzuri kutajirika.

Na katika hiyo safari yake hakuwasahau ndugu zake na familia yake pia. Amewafanya wale raha na bata kwa kuwapa umbea umbea watanzania..

Binafsi ninaamini kila wanachofanya kina Diamond ni planned.

Diamond hata kutongoza hatongozi tu kisa wewe mrembo au mzuri sana. Anakutongoza sababu una swaga za kuongelewa na wambea wambea maana ni hela unaleta. Hata kama anakuhonga mwanamke wake anazirudisha kiurahisi tu..

Fikiria jana tu youtube ameingiza bei gani, huku event ikiwa live Wasafi Tv matangazo kibao na leo siku nzima watu wanamuongelea yeye tu.

Umbea wa wa Tanzania ndio umemtajirisha Erick Shigongo enzi hakuna mitandao. Ameuza sana magazeti ya udaku ijumaa na uwazi kwa habari za umbea umbea tu.

Sasa Diamond anaufanya kwa zama za mitandao kisasa zaidi.

Na anapiga pesa kweli kweli.

Mimi ninapenda mama yake, baba yake, dada zake wote wanamsaidia kuleta hela..

Wasafi tv imeanza juzi tu ila ina matangazo kuliko tv zilizoanza miaka kibao na zingine zinafirisika sababu hazina umbea wa kuvutia watazamaji na makampuni yapeleke matangazo.

Big up sana Diamond
 
Maisha ya insta bana anyway

Hali halisi
66485030_651168932065303_1475678854530767875_n.jpg


#bongelahater
 
Habari wadau..

Diamond Plutnumz japo hajaenda sana shule ila ndio smart boy kulilo wote niliowahi kuwaona Tanzania.

Amekulia Tandale na amekuwa bilionea bila kumuibia mtu, kula rushwa wala kumtapeli mtu..

Ametumia advantage ya watanzania kupenda umbea na nyimbo nzuri kutajirika.

Na katika hiyo safari yake hakuwasahau ndugu zake na familia yake pia. Amewafanya wale raha na bata kwa kuwapa umbea umbea watanzania..

Binafsi ninaamini kila wanachofanya kina Diamond ni planned.

Diamond hata kutongoza hatongozi tu kisa wewe mrembo au mzuri sana. Anakutongoza sababu una swaga za kuongelewa na wambea wambea maana ni hela unaleta. Hata kama anakuhonga mwanamke wake anazirudisha kiurahisi tu..

Fikiria jana tu youtube ameingiza bei gani, huku event ikiwa live Wasafi Tv matangazo kibao na leo siku nzima watu wanamuongelea yeye tu.

Umbea wa wa Tanzania ndio umemtajirisha Erick Shigongo enzi hakuna mitandao. Ameuza sana magazeti ya udaku ijumaa na uwazi kwa habari za umbea umbea tu.

Sasa Diamond anaufanya kwa zama za mitandao kisasa zaidi.

Na anapiga pesa kweli kweli.

Mimi ninapenda mama yake, baba yake, dada zake wote wanamsaidia kuleta hela..

Wasafi tv imeanza juzi tu ila ina matangazo kuliko tv zilizoanza miaka kibao na zingine zinafirisika sababu hazina umbea wa kuvutia watazamaji na makampuni yapeleke matangazo.

Big up sana Diamond
true talk
 
Dah jamaa kahonga prado mpya kabisa!
Wema aliambulia murano,hamisa aliongezewa hela kununua Rav4 kilitime short chassis
 
Mimi binafsi siku penda ile suti aliye vaa baba yake mzazi na nguzo aliyo vaa Mama yake wa kambo.hayo ndio mapungufu niliyo yaona

na wamefanya makusudi ili watu wamuoongelee...

goal ya diamond ni kuongelewa ongelewa mitaani na wambea..
 
Back
Top Bottom