johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wauaji wanajulikana.RIP Magufuli, ulisingiziwa sana.
Mtaacha lini huu ujinga?tuonesheni alipo Ben saa 8RIP Magufuli, ulisingiziwa sana.
Tuoneshe kaburi lake.Mtaacha lini huu ujinga?tuonesheni alipo Ben saa 8
Mwenyekiti wa uvccm kagera aliwaambia polisi kwamba wale wanaomtukana na kukashifu rais wakipotea polisi wasiwatafuteRIP Magufuli, ulisingiziwa sana.
Ndio onesheniTuoneshe kaburi lake.
Muulize mh KubeneaMtaacha lini huu ujinga?tuonesheni alipo Ben saa 8
Unamaana Gani solute ngaraWauaji wanajulikana.
Wanaishi kama ndo madalali wa roho vile
Nchi hii ukifikiria sana.....!Familia ya marehemu Robert Mushi imetoa Shukrani kwa Umma wa Watanzania kwa kupaza sauti Kwenye Mitandao ya Kijamii ina kufanikisha na kufanikiwa kuuona mwili wa ndugu yao aliyepotea ghafla
Source: Mwananchi
Pia soma
- Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?
- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi
- Utata sakata la ndugu wa Boniface Jacob: Kupotea mpaka kukutwa mochwari ya polisi, Amana wapigilia msumari!