Familia ya mchungaji Obedi Kimati inavurugana kisa mashamba aliyoacha baba Yao

Familia ya mchungaji Obedi Kimati inavurugana kisa mashamba aliyoacha baba Yao

Singoi

Senior Member
Joined
Jun 13, 2011
Posts
156
Reaction score
24
Familia ya mchungaji Obedi kimati inavurugana kisa mashamba alio acha baba Yao baada ya kufariki wameshindwa kugawana kutokana na tamaa ya mkubwa mmoja kuyatawala yye peke yake na kutotaka wengine wadogo wapate mashamba hayo, jambo la hatari hili Kwa mtazamo wakawaida
 
Familia ya mchungaji Obedi kimati inavurugana kisa mashamba alio acha baba Yao baada ya kufariki wameshindwa kugawana kutokana na tamaa ya mkubwa mmoja kuyatawala yye peke yake na kutotaka wengine wadogo wapate mashamba hayo, jambo la hatari hili Kwa mtazamo wakawaida
Ndo nani
 
Familia ya mchungaji Obedi kimati inavurugana kisa mashamba alio acha baba Yao baada ya kufariki wameshindwa kugawana kutokana na tamaa ya mkubwa mmoja kuyatawala yye peke yake na kutotaka wengine wadogo wapate mashamba hayo, jambo la hatari hili Kwa mtazamo wakawaida
Jaribu kubwa katikati ya waamini...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Familia ya mchungaji Obedi kimati inavurugana kisa mashamba alio acha baba Yao baada ya kufariki wameshindwa kugawana kutokana na tamaa ya mkubwa mmoja kuyatawala yye peke yake na kutotaka wengine wadogo wapate mashamba hayo, jambo la hatari hili Kwa mtazamo wakawaida
Hakuna cha hatari hapo, ni binadamu tu ameamua kuuvaa u binadamu wake, mwanadamu kwa asili, ni mbinafsi.
 
Mtuachie sisi familia. Msituingilie ni mali zetu wenyewe zinawawasha nini? Kama na wewe ni mwanafamilia nenda mahakamani ukashtaki.
 
Haya si mambo ya kifamilia sana, nyuzi kama hizi ni za kufuta
 
Familia ya mchungaji Obedi kimati inavurugana kisa mashamba alio acha baba Yao baada ya kufariki wameshindwa kugawana kutokana na tamaa ya mkubwa mmoja kuyatawala yye peke yake na kutotaka wengine wadogo wapate mashamba hayo, jambo la hatari hili Kwa mtazamo wakawaida
Hivi umekosa la kuleta hapa jamvini? Hivi kila mwana JF akileta habari ya familia fulani, hili litakuwa jukwaa la aina gani?
 
Vita bado ni Kali ni vurugu tupu elimu ndogo na hakuna upendo tena ndugu Kwa ndugu soon matokeo
 
Mm ndo huyo broo kijana ntakuloga usirudie
Hayo ndio maisha yako ya ulozi namadhababu Yako ya macho na usitishe watuna kiburi Cha pesa kinakutia upofu wa fahamu
 
Back
Top Bottom