Ndo naniFamilia ya mchungaji Obedi kimati inavurugana kisa mashamba alio acha baba Yao baada ya kufariki wameshindwa kugawana kutokana na tamaa ya mkubwa mmoja kuyatawala yye peke yake na kutotaka wengine wadogo wapate mashamba hayo, jambo la hatari hili Kwa mtazamo wakawaida
Jaribu kubwa katikati ya waamini...Familia ya mchungaji Obedi kimati inavurugana kisa mashamba alio acha baba Yao baada ya kufariki wameshindwa kugawana kutokana na tamaa ya mkubwa mmoja kuyatawala yye peke yake na kutotaka wengine wadogo wapate mashamba hayo, jambo la hatari hili Kwa mtazamo wakawaida
Hakuna cha hatari hapo, ni binadamu tu ameamua kuuvaa u binadamu wake, mwanadamu kwa asili, ni mbinafsi.Familia ya mchungaji Obedi kimati inavurugana kisa mashamba alio acha baba Yao baada ya kufariki wameshindwa kugawana kutokana na tamaa ya mkubwa mmoja kuyatawala yye peke yake na kutotaka wengine wadogo wapate mashamba hayo, jambo la hatari hili Kwa mtazamo wakawaida
...Wewe ni YUPI ?...[emoji848][emoji848]
Hivi umekosa la kuleta hapa jamvini? Hivi kila mwana JF akileta habari ya familia fulani, hili litakuwa jukwaa la aina gani?Familia ya mchungaji Obedi kimati inavurugana kisa mashamba alio acha baba Yao baada ya kufariki wameshindwa kugawana kutokana na tamaa ya mkubwa mmoja kuyatawala yye peke yake na kutotaka wengine wadogo wapate mashamba hayo, jambo la hatari hili Kwa mtazamo wakawaida
Mkubwa mmoja kajitawalisha Mali hizo za marehemu aligombana na mdogo wake .mwaka2017 mpaka dogo kakata moto.sasa huyu mwingine naye anashughulikiwa kweli kweli mpaka aKate moto mwombeeni Wana jamiii amewashiwa moto kwelikweliMali za Marehemu.