Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Mbwa kwao ni zaidi ya waanga wa Middle East wao wasubili vyakula vya m wale. πππππDunia iko busy na Middle East,CNN wako busy kutangaza kifo cha mbwa,,,..really!!!! π π
Sifahamu kwa kwelihivi manunu bado anaishi kwa wema
Kwani Wema Sepetu sio mbongo?Huyu mkenya anajitoa ufahamu eeh
Bongo njaa tunatafuna kila kitu huku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]niliwahi kwenda mkoa flani watu wa huko wanaongoza kwa kula supu ya ngozi kiasi kwamba walishaiba mpaka ngoma za shule wanatoa zile ngozi wanaenda kutengeneza supu[emoji3][emoji1787]Wameadvance sana kama wamefikia ngazi ya kununulia mbwa picha za ukutani na hata midoli ya kuchezea, wakati huku tunawala mbwa!!! Sijui sisi tutafika lini huko
Khaaa...
Kwa hiyo Wema atamsafirisha Manunu kwenda msibani?Kwanini TBC hakutangaza mbwa wa staa mkubwa Wema Sepetu alivyopotea,
Mie nilisikia eti alienda kupanga chumba baada ya manyanyaso kuzidi.[emoji38][emoji38][emoji38]hivi manunu bado anaishi kwa wema
π π πwazungu wataweka msiba sasa na kutoa rambirambi
au alipata kadem kapyaMie nilisikia eti alienda kupanga chumba baada ya manyanyaso kuzidi.[emoji38][emoji38][emoji38]
Hali tete kabisa! π€£ π€£ π€£Watu wanafiwa na ndugu kabisa matangazo hayafiki hata whatsapp yeye na mbwa mpaka cnn daaah
Hakua kuro huyo?! π€£Kwanini TBC hakutangaza mbwa wa staa mkubwa Wema Sepetu alivyopotea,
Lazma tufike kwani mboo kafa!Wakenya wataenda kwenye msiba??
Duh, hivi itakuwa hakuna wachezaji ngoma huko, msosi huo? ππ€£π€£Bongo njaa tunatafuna kila kitu huku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]niliwahi kwenda mkoa flani watu wa huko wanaongoza kwa kula supu ya ngozi kiasi kwamba walishaiba mpaka ngoma za shule wanatoa zile ngozi wanaenda kutengeneza supu[emoji3][emoji1787]
π€£ πBongo njaa tunatafuna kila kitu huku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]niliwahi kwenda mkoa flani watu wa huko wanaongoza kwa kula supu ya ngozi kiasi kwamba walishaiba mpaka ngoma za shule wanatoa zile ngozi wanaenda kutengeneza supu[emoji3][emoji1787]