Familia ya Q Chillah walia na mkataba wa maisha

hata hivyo anavyovidai apewe sizan kama anathaman hyo kwa ss...akubali matokeo.....ushaur wang kilimo kinalipa akajalibu ila sio mziki
thaman yake ni kubwa kuliko hivyo anavyoomba kama wimbo mmoja tu wa Sungura wametumia zaid ya mill 42 anashindaje kumnunulia nyumba ya thaman hiyo?
 
Itakuwa alisainishwa huku amewekewa gobole ,pole yake ila kama kazi itakuwa ngumu basi ajinyonge.
 
Shida ni pale unapoishi kwa kumwangalia jirani, WCB harmonize na rayvanny wakipewa nyumba na gari na wewe wa QS mhonda unahisi unatakiwa upewe,
Hujiulizi wenzako wamefanya shoo ngapi ?
Hujiulizi nyimbo zako zimepata ukubwa gani kitaa ?
Na wee unataka gari, nyumba na bima....
Duu kwa staili hii sijui kama hizi lebal zitafika huko
 
Nilimwona fnl qchief ana nyodo aisee.
Inabidi apunguze nyodo otherwise ita mcost
 
Wakoloni waliwasainisha watawala wa kiafrika mikataba ambayo hawakuwa wakijua kusoma wala kuandika, Kumbe kuna wakoloni weusi, duh!
 
Umeonaee jamaaa majivuno mengi sana alafu wala hama hit song yoyote miaka ya hivi karibuni
Sana mkuu itakuwa ngumu kufanya kazi na management yoyote.
Yani he is full of himself hata anavyoongea anaboa tu anajifill yeye sijui ni chrisbrown.
 
Hujanielewa au umekurupuka...nimesema kuwa ni wachache wanaotokea "from scratch", mojawapo Diamond na huyo Wizkid....asilimia 90 ni walioingia kwenye muziki sio kwasababu ya njaa....MWENYE NACHO HUONGEZEWA.
Unamfahamu Fally Ipupa.... Unamfahamu hayati Lucky Dube .... Kasome wasifu wao
 
thaman yake ni kubwa kuliko hivyo anavyoomba kama wimbo mmoja tu wa Sungura wametumia zaid ya mill 42 anashindaje kumnunulia nyumba ya thaman hiyo?
Sijui unamaanisha nini hapa, thamani hiyo umeipima vipi? Kama wametumia hiyo zaidi ya 42mil lazima ujiulize hiyo pesa imerudi? yaani niwekeze 42 mil alafu nikuzawadie Gari na Nyumba juu hata kama pesa niliyowekeza haijarudi?

Kwa mtazamo tu Chilla ni Mtu anayetanguliza mbele matumaini makuuubwa kuliko hata uwezo alionao kutekeleza.

Siungi mkono Wasanii kudhulumiwa, lakini tukumbuke pia ku deal na Wasanii ni headache, na ndio maana wanaojitokeza wengi kuwasimamia huja na mikataba inayolinda maslahi yao kwanza...na Wasanii hushindwa kuchomoa kwani wengi wakati huo huwa wapo desperate.
 
Nilimwona fnl qchief ana nyodo aisee.
Inabidi apunguze nyodo otherwise ita mcost
Aisee ht mimi niliona.. ana dharau htr..soon atarudia maunga si kwa mastress yale..pesa hana..na hakuna mtu wa maana atakaye mpokea mana anaonekana kimeo...yeye na tid ni jeuri sana
 
Aisee ht mimi niliona.. ana dharau htr..soon atarudia maunga si kwa mastress yale..pesa hana..na hakuna mtu wa maana atakaye mpokea mana anaonekana kimeo...yeye na tid ni jeuri sana
Yani ana dharau na inaelekea ni limbukeni kwanza kitendo cha kumkana obama kuwa hamfahamu inaelekea jamaa limbukeni.
Mb doggy alikuwa anatabasamu tu nadhani anamshangaa qchief humfahamu msimamizi wetu qchief...
Ila kwa kutazama kwa mapana zaidi wote wana matatizo ila qchief ana matatizo zaidi na sidhani kama atafika mbali I do not think kwa dharau zake anybody can take him under his/her shadow
 
kwa namna Obama alivyoeleza yaonyesha Q Chilla aliutaka huo mkataba wa maisha yeye mwenyewe, sasa kuna kila dalili kuna Label inamtaka baada ya kumuona anang'aa sasa,ndipo hapo Obama anaposema Q chief anaota mapembe ila kijana akae na Manager wake waelewane maana asiache mbachao kwa msala upitao,anaweza akakimbilia 2 wakati Moja hajaimaliza ipo siku atarudi sifuri asielewe pa kwenda na wa kumgeukia
 
Sure nahisi kuna sehemu kaitwa itakuwa kahaidiwa more.
Sema basi asingeondoka kwa kudiss maana qchief alikuwa kapotea mazima kwenye game akabaki kulia lia kila siku
 
Ila watu wana pesa za mchezo, yaani unainvest zaidi ya mil 60 kwa Q Chillah kweli? Au ndio pesa za madini/ngada, maana wanaopata pesa za hivyo wanakuwa hawana uchungu. Kuwekeza pesa nyingi hivyo kwa Q Chillah ni sawa na kuibetia ushindi timu mbovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…