Familia ya Q Chillah walia na mkataba wa maisha

waende tu mahakama ya biashara,utavunjiliwa mbali.hakuna mkataba usiovunjwa,mradi sheria ifuatwe.
Lazima kuwe na provisions hata kama ni wa milele,vinginevyo huyo si mkataba,ajiunge tu na WCB
 
Sure nahisi kuna sehemu kaitwa itakuwa kahaidiwa more.
Sema basi asingeondoka kwa kudiss maana qchief alikuwa kapotea mazima kwenye game akabaki kulia lia kila siku
Ndo hivyo mkuu watu huwa hatukumbuki kwa mazuri kule tulikotoka ila tunakutazama tunapokwenda kama paradiso, tubasahau kwamba huko nako tutawakuta wanaadam ambao ni sawa na wale tuliowaacha
 
Wasanii walipoenda central kuitikia wito wa RC walienda peke yao bila wanasheria....huu ni mwaka 2017...fikiria kipindi hicho Q anasaini mkataba ilikuwa mwaka gani.

Ndo wasanii wetu hawa...wapo wapo tu...wakiona mwenzao kapiga bao...oooh anatembelea nyota yangu.
 
QS J. MHONDA....Mtaalamu wa majengo [emoji542][emoji545][emoji544][emoji543][emoji548][emoji538][emoji539][emoji540][emoji549][emoji541]
 
Ana uwezo wa kuupinga mahakamani kama walimrubun kuusain, au kama hakuuelewa...kaz ni kwake unatenguliwa tu
Unajidanganya na madesa yako sio? What you have affixed your signature you can not go against it claiming your mind was not there
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…