Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Niliandika mara nyingi sana humu kuwa Magufuli ni muuaji. Chawa wake mkawa mnatukana.

Sasa badala ya kuandika uzi (thread) kimeandikwa kitabu.

Nakazia: Magufuli ni muuaji, mporaji na mekaji.
Na Samia naye anaendekeza uuaji na utekaji, inawezekana alikuwa pembeni wakati mzee Ali Kibao anateswa na kuuawa. Maana kimya hadi leo hakuna taarifa, aliuawa ndugu wa mwenyekiti wa CCM mkoa fulani kesho yake watuhumiwa wamekamatwa
 
Mtu aliyepora uchaguzi nchi nzima ashindwe kufanya kitu km hiko… tatizo jiwe alikuwa na mihemko na hapendi kukosolewa.!!

Muhimu wote wamekufa wahukumiane huko huko walipo.!! Sijui alishapewa uongozi wa kuongoza malaika 🤣
Sasa na huyu aliyepora uchaguzi wa 2024 na kuwaua akina Ali Kibao naye vipi, afe akakutane na aliyemfundisha ukatili nini?
 
Leta ushaidi la sivyo Kwa vi jisheria ulivyotaja apo juu Familia ya Mbowe ikuburuze mahakani.

Na amini Hata wewe ukifanyia uchunguzi jambo tena linaloweza kukuweka matatani, utaambiwa /simuliwa na watu (which is hear say) jukumu lako kiwaamini au la.

Unataka ataje waliompa taharifa ni kanuni Gani hiyo katika kutoa taharifa za Siri, yaani unataka kuwachoma watoa taharifa, ili Siku nyingine tushindwe kupata Habari za matukio ya gizani yenye uovu mkuu.

Bahati nzuri mhusika hayupo itabaki historia tu.
 
Punguza bangi basi hebu utavaa chupi kichwani
 
Lissu anaporoka hana ushahidi. Cha ajabu hajawahi kukutwa na hatia mara zote anazopelekwa mahakamani.

Ropoka na wewe uone.
Punguza bangi kesi ipi ambayo Lissu alishitakiwa kwa kutoa tuhuma za uongo? Mkivuta bangi zenu mkajiona mko New York basi unaona kesi Lissu kashitakiwa
 
Ila hapa siyo mahala pake, fanatism haina nafasi kwenye jamii secular hususan humu jukwaani. Mnakaribisha kashfa, kejeli na matusi tu kwa imani zenu. Ni ujuha mtupu
 
Kwa nini isiwe serikali kushtaki kwa kuwa mwisho ni serikali nzima ya Magufuli itahusishwa na mauaji ya watu wengi waliopotea!
 
Is icon kwa wapuuzi wanaovutiwa na ukatili, mimi ni mtanzania lakini simpendi na ninawajua wengi wasiompenda huyo muuaji wenu.
 
Ni wapi nimeandika utakatifu wa kiongozi ?
Nchi ni takatifu....viongozi wakuu ni TURATHI ya nchi yetu Tanzania....kuwachafua...tena kwa msukumo wa maadui wa historia ya Tanganyika na Tanzania ni KUJINAJISI MWENYEWE.....
Hakuna nchi takatifu hapa boss. Usitake uchafu wa viongozi ufichwe kwa kusaka sifa zisizokuwepo. Kama kiongozi ni mchafu huyo ni mchafu, na uchafu wake utawekwa wazi peupe. Hutaki jinyonge.
 
Kupendwa na hao watanzania sio kinga ya ukweli kuhusu uovu wake kuwekwa hadharani. Alikuwa ni kiongozi muovu fullstop.
 
Hadi aliokoka wakati wa jiwe, tulikuwa naye siloam wakati fulani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…