Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Tutasikia mengi sana, bahati mbaya Magufuli na Saanane hawawezi jitetea.
 
Ubaya ni deni litakalolipwa, mwisho wa ubaya ni aibu. Wakati Ben anapotezwa Magufuli alikuwa na uwezo wa kuamuru uchunguzi huru kujua nini kilimpata Ben lakini licha ya kelele nyingi hakufanya hivyo. Sasa unapopush familiya yake imtetee kwani wanajua matendo yote aliyofanya Magufuli alipokuwa hai? au vipi familiya yake ika disclose ukatili wa Magufuli utakaokuwa wa kutisha kuliko tuhuma za kumuua Ben Saanane kwa mikono yake mwenyewe. Kwenye utawala wa Magufuli kulikuwa na mambo mengi ya kutisha huenda hata alichosema Kabendera likawa moja wapo.
 
Jibu swali, alikuwa kiongozi wa kisiasa? Nchi au eneo gani? Huo ushawishi anaozungumzia huyo Prof wako ni ushawishi wa sasa wa kidini baada ya Uislam kusambaa, mi nakuuliza miaka hiyo akiwa hai alikuwa kiongozi nchi au eneo lipi? Maana nikisoma historia yake alikuwa mtu wa kuhamahama kwa kufukuzwa au kukimbia maadui zake.
 
Mahakama ipi sasa ambayo itawpaa haki
 
Mmh kwa hulka za yule rais alivyokuwa hili swala nalipa asilimia 75..linaweza kuwa kweli!
 
Unadhani dunia ya zamani ndio sawa na leo, unadhani wakati wa Yesu Tanzania akiongoza Rais gani?
 
Vatican, nijibu kuhusu Mtume sasa.
Kuna nchi Vatican?
Kwa Ujumla wa Wanadamu:

Allah anasema:
"Na hatukukutuma (Ewe Muhammad) ila kwa watu wote, uwe mbashiri na muonyaji."
(Surat Saba: 28)
Hii inaonyesha wazi kuwa ujumbe wa Mtume Muhammad haukuwa kwa Waarabu pekee, bali kwa watu wa kila rangi, taifa, na kizazi.
 
Vigumu lakini sio impossible. Kuondoa dhana zozote kuhusu kupotea kwa Saanane, serikali ituambie yupo wapi. Lakini serikali haijawahi kufanya uchunguzi makini au kutoa tamko rasmi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…