Familia yaingilia ishu ya mwanaume shoga kumtaka mwanamuziki Jux

daaaaaadeki ulitoa adhabu ya papo kwa papo mamiyakeeee,kula gwara mwanangu!!
 
Nilivyokuwa nasoma hapa mizuka ilikuwa inapanda nilitaman tungeenda wote hospital baada ya kumaliza kumwambia mi ningemtia kabali afe jumla
 
daah hapa mtaani kwetu kuna mshkaji huwa nae anapigwa nyuma na yeye ndo huwa anawatafuta, lakn kimuonekano ni getleman fresh yn, sasa sijui anaingia kwnye hili kundi la kina delicious? mh
 
Mungu amsaidie tu, inahitajika neema ya Mungu awaokoe watu wa sampuli hiyo. Kuna Shoga mmoja magomeni alikua akiitwa aunty Asu leo hii Amos, Mungu amemuokoa toka kwenye dhambi hiyo. leo ukimuona huwezi amini alivyo sasa
Namjua fika alikua anabandika kope pale magomeni kwenye saluni yake.naskia walimpiga mtungo nusu afe na kipigo juu kisa kaiba mume wa mtu kisha wakamtupa mtaroni wakijua kafa toka hiyo siku aliokoka simuoni kabisa siku hizi anashinda kanisani kwao huko
 
daah hapa mtaani kwetu kuna mshkaji huwa nae anapigwa nyuma na yeye ndo huwa anawatafuta, lakn kimuonekano ni getleman fresh yn, sasa sijui anaingia kwnye hili kundi la kina delicious? mh
Wapo wale wa kujificha kama Adam mtomvu wa mawingu FM na B *12 nao naskia skia tyyu #huu_mchezo_unatumalizia_wanaume_wote_wanataka_kuwa_wadada_doooh#[emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Hebu nenda Bujumbura ndio utajua ushoga ni nini.nusu ya vijana wote ni machoko hadharani dunia imeisha
Bujumbura ni hatari aisee ,sijui ni wale wazungu wa un ndio waliwaharibu kuanzia madada mpaka wanaume!!

Burundi ni janga kubwa sana na huku kwetu tukiendelea kufumbiana macho basi ndani ya miaka 5 ijayo hali itakuwa mbaya sana
 
Huwa sipendi utumiaji wa haya maneno "sio maadili ya kiislamu" au " sio maadili ya kikristu" n.k. pale tunapozungumzia uovu.

Hakuna dini inayounga mkono uchafu...Nchi imejaa Wahalifu kila kona na sidhani kama kabla ya kufanya ufedhuli wao hutumia japo sekunde moja na kujinadi " mimi ni muislamu" au " mimi ni mkristu, na ninachofanya maadili hayaniruhusu"

Watu wanaua, wanabaka, wanaiba...na wengi wao ni eidha Waisilamu au Wakristu.

So tuache ulimbukeni wa kuhusisha dini tunapolaani uchafu.....uchafu ni uchafu tu kwa awaye yote yule bila kujali ni wa imani gani....

Ni bora hata kusema "ni kinyume na maadili ya familia yetu"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…