Familia yaingilia ishu ya mwanaume shoga kumtaka mwanamuziki Jux

Huu ujinga si wa kuvumilia kabisa yaani hadi hasira, hivi hawa huwa wanalelewa na wazazi wao kweli!!??
 
kama movie vile.. traffic case ulimaliza kiulainiii!!!
 
Biblia. Mambo ya Walawi 18:22
[22]Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni machukizo.
bible nayo hapa ilizunguka kidogo ilitakiwa iweke kitu blank maana hii mijitu inaudhi sana
 
Mm kwamfano ndo njue kuwa mtoto wangu wa kiume ni shoga, sio siri ntamuua hlf ntajisalimisha Polisi mwenyewe...
 
Jinga
 
Wallah huu mtihani mzito..yani hata enzi za marehemu akina aunt Reila na aunt Abuu hawajahi kuwa ng'ang'ania wanaume wenzao hadharani hivi.
Kwa nini Juuxxa tu na si wengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…