mi nikajua suijui familia ya mtanzania gani kumbe kina Kimye
Mie nilijua wewe kidogo nizime kwa mshtuko ;D
Kumaliza ugomvi:Wewe nawe ni mbulula tu, kipi usichoelewa hapo? au unataka tu kukosoa kisa flani ndio kapost? ulitaka iandikweje?
nyie mko humbled majina yenu kuwekwa kwenye makopo ya soda.
Katoto kenyewe kutwa kuzungushwa kwenye fashion week......
Na bado kawekwe kwenye reality show mbona watakachosha