hehehe!mimi nikishauri kaizer ataponda!...ongea na kaizerππJana nikiwa stand nilikutana na binti mmoja tukiwa shule nilimpenda sana tena mno nikataka nimchumbie alinipiga kibuti cha ugoko jana nikaonana nae dah Mungu si athumani nikakumbushia ahadi yangu ile naona anakuja sasa huyu nimfanyaje kipindi kile alinitosa sasa anakubali nimuoe hajachuja kweli?
mara mume kajiservia tigo.................
πππ....ukweli mtupu!wewe unaeleweka kuliko maelezo!nisaidie kumwelewesha kaizerπ
ha haaaaaaaaaa, chuda raha!
taratibu kaka, kumbukeni angaza kwanza!Jana nikiwa stand nilikutana na binti mmoja tukiwa shule nilimpenda sana tena mno nikataka nimchumbie alinipiga kibuti cha ugoko jana nikaonana nae dah Mungu si athumani nikakumbushia ahadi yangu ile naona anakuja sasa huyu nimfanyaje kipindi kile alinitosa sasa anakubali nimuoe hajachuja kweli?
πππ
..hehehe!ππKweli mpwa nilikutana na Twimwibate akielekea Mby.
Dah mtoto black beauty mate yalinidondoka si unajua watoto wa mby walivyo wanang'aa na natural face, mtoto nilimuuliza nn hasa siri ya urembo wako alisema ni parachichi tu.
taratibu kaka, kumbukeni angaza kwanza!
Kweli mpwa nilikutana na Twimwibate akielekea Mby.
Dah mtoto black beauty mate yalinidondoka si unajua watoto wa mby walivyo wanang'aa na natural face, mtoto nilimuuliza nn hasa siri ya urembo wako alisema ni parachichi tu.
Angaza kufanya nn? We unapenda kufa kwa kiholo?
waarabu wa chalinze,I MEAN PEMBA!πdah mpwa una bahati!
apo we kama vipi angalia kushoto kulia mchungulie kipa kakaaje...kama hujaotea we malizia kimiani kabisa
ila angalia isije akawa na mambo ya kichina unajua kuangalia kweli feki na orijino?
..hehehe!ππ
hamna mapoudaaaa!
ila angalia isije akawa na mambo ya kichina unajua kuangalia kweli feki na orijino?
contact ulichukua?huyo anafaa kwa project yako ati