Family Marriages VS Love Marriages: Which is which?!

Mimi nimesusa kabisa hii mada- ilikuwa mada nzuri sana yaani sana tu mmeiharibu!!
Waone vile na nywele zenu ka za fidodido

Isipokuwa bwana arusi!!

twen zetu kwen maruhani.....ooops wapi imeharibika jamani?
 
Cohabitation is better! Muulize masa na mbondei wake wa kizenji.
Loooooooong real loooong relationship ndani ya chumba kimojam
 
Duh

usitukumbushe kitonga manake basi letu aka lori lilikuwa busy al manusura tudumbukie kiukweli kule bondeni!

Hahaha! Ule mlori LHD ulinifanya niitafute rozari yangu na kupiga fungu moja matendo ya utukufu! Nilikuwa face to face na Ziraili!
 
twen zetu kwen maruhani.....ooops wapi imeharibika jamani?

Wataka ukanpunge? Hahaha wengine yakipanda kuyapunga n'kazi ati lol usiombe


(Potelea mbali mshamwaga ugali, nami namalizia mboga)
Kama mmbwai mmbwai du!
 
kaizer na x-pin mpoooo?
 
Wataka ukanpunge? Hahaha wengine yakipanda kuyapunga n'kazi ati lol usiombe


(Potelea mbali mshamwaga ugali, nami namalizia mboga)
Kama mmbwai mmbwai
Hahaha! Ndege wa aina moja huruka pamoja!
 
Afu nakudai valeur mbili. Huwezi nifanya niandike makala ndefu namna ile!


Aisee hiyo ni sawa na ndovu ngapi homuboi? kaupeleka darasani ujue> afu eti anatoa excuses!πŸ˜€
 
kumbe huyu ana mtaji wa shamba?????πŸ˜€πŸ˜€
nitakusemea kwa dada yako

Hahaha! Mshiki atakuwa upande wangu. At least kwa sasa ambapo yuko chini ya uangalizi wa Mrs ODM!
 
Wataka ukanpunge? Hahaha wengine yakipanda kuyapunga n'kazi ati lol usiombe


(Potelea mbali mshamwaga ugali, nami namalizia mboga)
Kama mmbwai mmbwai du!

Mi mbona imebobea katika upungaji wa maruhani, ya kuzaliwa nayo na ambayo ni acquired, ya jumla na reja reja, njoo niyapandishe na kuyashusha, bei ni nafuu sanaπŸ˜€

Angalia PM yako...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…