Mimi nimesusa kabisa hii mada- ilikuwa mada nzuri sana yaani sana tu mmeiharibu!!
Waone vile na nywele zenu ka za fidodido
Isipokuwa bwana arusi!!
Duh
usitukumbushe kitonga manake basi letu aka lori lilikuwa busy al manusura tudumbukie kiukweli kule bondeni!
i will taste the same soon!honeymoon inaendelea tena ina mafanikio makubwa
i will taste the same soon!
Ndo ile miwani yako inavyokuonyesha?Hapo nimekuelewa LOL! Nshaanza kupandisha mzuka ujue?
twen zetu kwen maruhani.....ooops wapi imeharibika jamani?
Hii mawani niirithi toka kwa babu yangu. Ni maalum kwa kufumbua mafumbo au maana zilizofichwa!Ndo ile miwani yako inavyokuonyesha?
Hahaha! Ndege wa aina moja huruka pamoja!Wataka ukanpunge? Hahaha wengine yakipanda kuyapunga n'kazi ati lol usiombe
(Potelea mbali mshamwaga ugali, nami namalizia mboga)
Kama mmbwai mmbwai
kaizer na x-pin mpoooo?
Zitakuua kaka yangu shauri yako utatafuna mpaka mtaji wa shamba lolKaunta pale! Ngoja niwahi!
Zitakuua kaka yangu shauri yako utatafuna mpaka mtaji wa shamba lol
jioni njema
Afu nakudai valeur mbili. Huwezi nifanya niandike makala ndefu namna ile!
kumbe huyu ana mtaji wa shamba?????ππ
nitakusemea kwa dada yako
Aisee hiyo ni sawa na ndovu ngapi homuboi? kaupeleka darasani ujue> afu eti anatoa excuses!π
Wataka ukanpunge? Hahaha wengine yakipanda kuyapunga n'kazi ati lol usiombe
(Potelea mbali mshamwaga ugali, nami namalizia mboga)
Kama mmbwai mmbwai du!
Ndovu tatu na soda ya Elizazzzz!