Fani ipi inalipa kwa kujiajiri kwa kufungua kampuni yako? Mhasibu CPA, Mwanasheria TLS, Engineer ERB au Daktari MCT

Fani ipi inalipa kwa kujiajiri kwa kufungua kampuni yako? Mhasibu CPA, Mwanasheria TLS, Engineer ERB au Daktari MCT

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
Taaluma yoyote ina watu waliotoboa ila kuna utofauti wa viwango mfano ugumu wa kupata connections, hali ya competition / ushindani, strictness ya taasisi zinazosimamia, n.k.

Mhasibu mwenye CPA (Certified Public Accountant) - kuandaa hesabu za wafanyabiashara / makampuni, kufile kodi zao, kufungua darasa la watahiniwa wa cpa, n.k.

Mwanasheria TLS (Tanganyika law society )- kusimamia kesi za watu, kusaini medical form za wanafunzi wanaoanza chuo, kupiga mhuri vyeti vya wahitimu wanaoomba ajira.

Engineer aliesajiliwa ERB (Engineers Registration Board ) - ni mambo ya ujenzi na marekebisho ya majengo na miundombinu, wapo wanaodeal na umeme, kuchora ramani za majengo, n.k.

Daktari MCT (Medical Council of Tanganyika) - Waweza fungua clinic / zahanati ya meno, macho, kutibu magonjwa,n.k.
 
Zote zinalipa sana unahitaji mtaji ambao sio pesa tu ila pia watu aka connection
 
Zote zinalipa sana unahitaji mtaji ambao sio pesa tu ila pia watu aka connection
Yes ni kweli, Wanasheria alikuwepo Nimrod Mukono, Muhsasibu alikuwepo Reginald Mengi, Engineers kina Ally Mafuriki, Doctors sijajua ila nasikia juu juu madaktari bingwa wanapenda kwenda nchi za nje wanalipwa pesa nyingi sana
 
Mhasibu mwenye CPA (Certified Public Accountant) - kuandaa hesabu za wafanyabiashara / makampuni, kufile kodi zao, kufungua darasa la watahiniwa wa cpa, n.k.

Mwanasheria TLS (Tanganyika law society )- kusimamia kesi za watu, kusaini medical form za wanafunzi wanaoanza chuo, kupiga mhuri vyeti vya wahitimu wanaoomba ajira.

Engineer aliesajiliwa ERB (Engineers Registration Board ) - ni mambo ya ujenzi na marekebisho ya majengo na miundombinu, wapo wanaodeal na umeme, kuchora ramani za majengo, n.k.

Daktari MCT (Medical Council of Tanganyika) - Waweza fungua clinic / zahanati ya meno, macho, kutibu magonjwa,n.k.
Yote yanalipa Mkuu,ukijipanga vyema ongezea na kilimo,biashara,ufugaji nk
 
W
Yes ni kweli, Wanasheria alikuwepo Nimrod Mukono, Muhsasibu alikuwepo Reginald Mengi, Engineers kina Ally Mafuriki, Doctors sijajua ila nasikia juu juu madaktari bingwa wanapenda kwenda nchi za nje wanalipwa pesa nyingi sana
Wakistaafu wanarudi mkuu,kuna binamu yangu alikuwa Botswana! Kufungua hospital (Tokyo)_Tukuyu.
 
Back
Top Bottom