Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasome EASTEC.Habari, wadau napenda kujua kuhisi hii fani mpya ya data Science kwa upande wetu huku Tanzania naweza kuipata chuo gani nijue.
- Chuo kinachotoa fani hiyo
- Level (cheti shahada)
- Ada
- Vigezo vya fani husika
Usimdanganye aende kukaririshwa madesa,sua hakuna elimu pale,aulize ITs wa pale wanasomaje ndio afanye uamuzi sahihi.SUA imeanza hii kitu nenda
Chuo cha kilimo cha Sokoine na data wapi na wapi? 😂😂SUA imeanza hii kitu nenda
Aisee sio kwamba hawana kozi za IT pale,la hasha wanazo,shida ni kukaririshana madesa na zero practical.Chuo cha kilimo cha Sokoine na data wapi na wapi? 😂😂
Ulichokiandika kina fikirisha kwa kweli.Ushauri wangu ni huu.
1. Angalia udsm ukikosa,
2. Angalia udom,ukikosa,
3. Angalia must.
Ukikosa huko kote hiyo kozi basi apply nje tu,sikushauri kabisa kwenda sua au chuo chochote private.
Kile chuo cha takwimu hakina hiyo kozi ?Izo kozi zna vyuo vyake uko Sua ni kupoteza muda
Akili mgando ni changamoto sana kwa taifa 🤣🤣🤣Ushauri wangu ni huu.
1. Angalia udsm ukikosa,
2. Angalia udom,ukikosa,
3. Angalia must.
Ukikosa huko kote hiyo kozi basi apply nje tu,sikushauri kabisa kwenda sua au chuo chochote private.
Umeona eeeh 🤣🤣 daahUlichokiandika kina fikirisha kwa kweli.
Mwanangu anaipiga hii kitu pale MUST mkuuuHabari, wadau napenda kujua kuhisi hii fani mpya ya data Science kwa upande wetu huku Tanzania naweza kuipata chuo gani nijue.
- Chuo kinachotoa fani hiyo
- Level (cheti shahada)
- Ada
- Vigezo vya fani husika
Data science =computer science ila unasoma vitu vichache sana, (specialize kwenye vitu vichache )
Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app