Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Milioni kwenda juuKwanza kwako wewe ukisema malipo mazuri ni kuanzia pesa ngapi?
Ukijibu hilo then ndio tutaendelea na mjadala
Ivi kwa nyakati izi mitambo ipi ndio inaweza kunipa dili nzur, nataka nichague mitambo ambayo marketableFork lift unaweza kuisoma chuo cha taifa cha usafirishaji NIT Dar na Chuo cha Bandari Kurasini Dar kuna forklift,front end loader,winch,crane nk.Kwa taarifa zaidi ingia Google visearch vyuo husika hapo juu.
Kasomee kilimo tu. Mashine zinabadilika kila siku.Ivi kwa nyakati izi mitambo ipi ndio inaweza kunipa dili nzur, nataka nichague mitambo ambayo marketable
Kajifunze:-Ivi kwa nyakati izi mitambo ipi ndio inaweza kunipa dili nzur, nataka nichague mitambo ambayo marketable
Kwa Awamu hii ambayo imejikita katika Ujenzi / Miundombibu inalipa, ila kwa ninaowajua wengi Wao hiyo hiyo Mitambo imewapeleka Udongoni.Wadau, Ivi fani ya ku operate mitambo mikubwa kama bulldozer,grader, focal lift, na mingine HEAVY EQUIPMENT inalipa vizuri? Chuo chao kipo wapi, mwenye kujua utamu wa fani hii anisaidie tafadhali wakuu
Mimi nashauri asomee hiyo namba 3 na 4 angalau anaweza kubahatisha kazi kwenye kampuni za logistics akapata maisha.Kajifunze:-
1. Grader
2. Excavator
3. Mobile Crane
4. Tower Crane