Fani ya 'Marketing' ni fani ya kwenda 'field' na si ya kwenda kubweteka ofisini.

Fani ya 'Marketing' ni fani ya kwenda 'field' na si ya kwenda kubweteka ofisini.

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Ukisoma fani ya 'Marketing', moja kwa moja wewe unakuwa umejiondoa kwenye kazi za kukaa ofisini na kupulizwa na kiyoyozi; kazi zako wewe ni za kwenda 'field' kwenye kutafuta wateja kwa kutuma mbinu mbalimbali ulizosoma huko darasani.

Tunawashangaa sana mnapokuja huku maofisini na kung'ang'ania viti vya ofisi, na kutokujua umuhimu wa fani ulioisomea.

Tunategemea kwa fani hii, utuelezee, uwepo wako hapa ofisini umeweza kuongeza wateja, labda kutoka 500 mpaka kufikia 5000 n.k

Nadhani mtakuwa mmepata mwanga.​
 
Ukisoma fani ya 'Marketing', moja kwa moja wewe unakuwa umejiondoa kwenye kazi za kukaa ofisini na kupulizwa na kiyoyozi; kazi zako wewe ni za kwenda 'field' kwenye kutafuta wateja kwa kutuma mbinu mbalimbali ulizosoma huko darasani.

Tunawashangaa sana mnapokuja huku maofisini na kung'ang'ania viti vya ofisi, na kutokujua umuhimu wa fani ulioisomea.

Tunategemea kwa fani hii, utuelezee, uwepo wako hapa ofisini umeweza kuongeza wateja, labda kutoka 500 mpaka kufikia 5000 n.k

Nadhani mtakuwa mmepata mwanga.​
Kwahiyo marketing manager wa Airline anakwenda wapi kutafuta wateja?

Elimu ya kukariri ndio tatizo Bongo.
 
Marketing officer labda private na wale wauza vyombo kama waha ...Hawa wa serikali wana wateja permanent ukiwapeleka field hutoweza kuwalipa posho kila siku.

Hata hao wengine wanatafuta wateja mitandaoni ,bank hizi hawana time ya kusumbua watu wanapitia tu watumishi wa umma .Kwa sasa kama mikopo imeunganisha na mfumo wa Ess.utumishi automatically...

Mambo yamekuwa rahisi huko mtaani utaona wauza vyomba na hizi banks ndogo ndogo.
 
Marketing officer labda private na wale wauza vyombo kama waha ...Hawa wa serikali wana wateja permanent ukiwapeleka field hutoweza kuwalipa posho kila siku.

Hata hao wengine wanatafuta wateja mitandaoni ,bank hizi hawana time ya kusumbua watu wanapitia tu watumishi wa umma .Kwa sasa kama mikopo imeunganisha na mfumo wa Ess.utumishi automatically...

Mambo yamekuwa rahisi huko mtaani utaona wauza vyomba na hizi banks ndogo ndogo.
Kulemaa kwao ndio kunakosababisha ukosefu wa mapato kwa taasisi wanazofanyia kazi; kwa taasisi makini inayohitaji mapato yakutosha, haitawavumilia wale wanaobweteka maofisini.​
 
Kulemaa kwao ndio kunakosababisha ukosefu wa mapato kwa taasisi wanazofanyia kazi; kwa taasisi makini inayohitaji mapato yakutosha, haitawavumilia wale wanaobweteka maofisini.​
Ila mitandao inasaidia sana ,kama hzi kampuni za mikopo umiza wanapata wateja wengi kwa kutumia mitandao tu.
 
Ila mitandao inasaidia sana ,kama hzi kampuni za mikopo umiza wanapata wateja wengi kwa kutumia mitandao tu.
Ulimwengu wa sasa unahitaji ushawishi ili uweze kuingiza mapato, iwe kimtandao au nje ya mtandao; mwisho wa siku lazima upimwe, mfano ndani ya miezi hii sita, umeongeza mapato kiasi gani? n.k​
 
Back
Top Bottom