Fanya haya kuepuka kutekwa na kupotezwa na wasiojulikana

Fanya haya kuepuka kutekwa na kupotezwa na wasiojulikana

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Watu wanapotea miaka Sasa hawajulikani walipo

1. Epuka ukosoaji wa viongozi wa juu, hao hawataki kukoselewa, wapo pale kutawala, hawataki ukosoaji na ujuaji utapotezwa
Mbele ya watu watajifanya wapo tayari kukoselewa ila kiuhalisia hawataki, utapotezwa.

2. Kuwa mtu wa haki Kwa wengine (usidhulumu) hasa pesa za dili

Usijaribu akudhulumu hasa magendo, kama hasa pesa ya deals ukipewa dili kubwa la mamilion kama Kuna mtu alikupenyeza kwa makubaliano utampa malipo yafanye chap usiwe na janja janja, utapotezwa

3. Epuka mienendo ya ujambazi na wizi. Hizi kesi za ujambazi haIfiki mahakamani, wajuzi wakijiridhisha wewe ni jiI na jambazi.

Utafatwa na Noah nyeusi
Na utapotezwa mazima ohooooo.

4. Epuka wake za watu
Kutembea na mke wa mtu,
Uchi tu utakupoteza uraiani chap.

Kuna watu unaweza kuwachukulia kawaida kumbe ni watu wa system,
Ukimfata demu muulize kama ameolewe, alikwambia ndiyo
Acha utapotea.

5. Ukiwa tajiri make sure ule na watu wa system, ni kosa tajiri kukosa marafiki wa vyombo vya ulinzi na usalama,
Hakikisha OCD, RPC, nk una namba zao.

Na unawapa vibahasha mwisho wa mwezi. Hawa watakuvusha pagumu

Dalili za kukaribia kupotezwa
1. Kupigiwa na namba mpya na watu usiowaelewa wakiomba appointment, ndg usijaribu kukutana nao

2. Kupigwa na mteja alitaka umuuzie bidhaa au huduma ya faida kubwa.

3. Kufuatwa nyumana gari usilolijua

4 . Kuitwa pembeni na watu usiowafahamu, usikubali

5 Kukamatwa na askari kanzu, wasiokuwa na sare
 
Kwenye mke wa mtu hapo siwezi kutongoza mwanamke kwa kuanza kumuuliza eti umeolewa, ya nini, kwani namtaka mumewe ama namtaka yeye.

Yeye ni mtu mzika na kipochi manyonya ni mali yake binafsi kama amekubali mwenyewe kunipa siwezi kuacha kukila, hilo halipo.
 
Kwenye mke wa mtu hapo siwezi kutongoza mwanamke kwa kuanza kumuuliza eti umeolewa, ya nini, kwani namtaka mumewe ama namtaka yeye. Yeye ni mtu mzika na kipochi manyonya ni mali yake binafsi kama amekubali mwenyewe kunipa siwezi kuacha kukila, hilo halipo.

😃😃

Mke wa Mtu NI kama Mamlaka ya Rais. Unategemea hekima au Taasisi imeamkaje
 
Kwenye mke wa mtu hapo siwezi kutongoza mwanamke kwa kuanza kumuuliza eti umeolewa, ya nini, kwani namtaka mumewe ama namtaka yeye. Yeye ni mtu mzika na kipochi manyonya ni mali yake binafsi kama amekubali mwenyewe kunipa siwezi kuacha kukila, hilo halipo.
Kwa tabia hii unakaribia kupotea
 
Namba moja Futa, ni upuuzi wa hali ya juu.

Ukiona mtawala anajitekebisha hata kwa udogo ujue ni gharama ya wakosoaji.

Polisi wanaboreshewa masrahi yao sababu wakosoaji wanasema, walimu na kadi nyingine.

Sasa unataka nani alipe gharama yako wewe ufaidike?
Usitutie Uoga

Nimekutukana tusi kubwa sana kwa hiyo point ya kwanza
 
Dawa ni moja tu tafuta bastola uwr natembea nayo,atakayejichanganya mlipue tu
Ndo hicho haswa mimi nimefanya. Ukija kwangu paa yangu ya mabati ina vitobo tobo vya kutosha.

Yaani nikisikiaga hata mkwaruzo tu nalala chali nakunyoosha mkono kitu kina tema na kurusha vitu vyenye ncha kali/butu vinavyoruka kwa kasi ya hatarii na kukohoa pah pah.

Mzungu hajakariri kasoma na kuelewa.
 
Huo
Ndo hicho haswa mimi nimefanya. Ukija kwangu paa yangu ya mabati ina vitobo tobo vya kutosha. Yani nikisikiaga hata mkwaruzo tu nalala chali nakunyoosha mkono kitu kina tema na kurusha vitu vyenye ncha kali/butu vinavyoruka kwa kasi ya hatarii na kukohoa pah pah.

Mzungu hajakariri kasoma na kuelewa.
Ndio ujanja
 
Back
Top Bottom