Fanya haya kuepuka kutekwa na kupotezwa na wasiojulikana

Hili lakutembea na mke wa MTU wa system Ni mbaya zaidi.
Kuna mtu wa system Yuko Dar mke wake Yuko Iringa. Huyo mke alikua na kibenten chake, mume akiwa Dar, chenyewe kinajitutumua.
Sasa yule MTU wa system mawasiliano yoote ya simu ya mkewe huwa anayapata live. Kuna siku kibenten kikawa kina chart na yule mke usiku Mambo ya matusi waliyofanya Jana yake, madam anamsifia dogo kwa kukitendea haki kisimbusi na ulimi, dogo naye anamsifia mke wa mtu alivyo tight kwenye 0713 na matusi mengi mengi. Kumbe mzee Dar ananyaka kila detail.
Kesho yake mwenye Mali zile mesaji za dogo za kijinga zote akamtumia dogo. Kisha akamwendea dogo hewani na kumwambia ana ushahidi tosha kwamba dogo anatembea na mke wake, na kwa alivyomfanya kinyume nyume Ni kwamba ameshaharibu Ile ndoa kabisa, Sasa dogo kwa usalama wake, kesho aje Dar waonane. Asikose kuja Dar.
Na mke akaambiwa kuepusha Shari aondoke hapo nyumbani....
(Asking for a friend, kwa Nini Mara nyingi wanawake wakitembea nje ya ndoa wanatoa tigo)?
 
Dogo alienda?
 
1 moja ndio linafanya raia waonekana kondoo.
Kosoa lakini kwa staha, suala kusema epuka kuwakosoa ni kuwafanya wafalme which is so wrong
 
Kwa mfano wakileta muswada wa ushoga tunatakiwa tufanyeje mkuu? Tuwapongeze wasije wakatuteka?
 
1 moja ndio linafanya raia waonekana kondoo.
Kosoa lakini kwa staha, suala kusema epuka kuwakosoa ni kuwafanya wafalme which is so wrong
Eti Kaka.
Kama Bumunda alivyoongea kwa kutumia utumbo badala ya ubongo asikosolewe?
 
Wapo wanaouawa kwa kulala na wake za watu mkuu. Sio masihara kabisa. Unapigwa risasi unajiona.
 
Zaburi 127:1
Kama Bwana asipoijenga nyumba, Waijengao wafanya kazi bure; Kama Bwana asipoulinda mji, Yeye aulindaye akesha bure
 
Wacha kuleta utani na wake za watu, bwana mdogo utauwa kweli kuna watu hawana masihara. Yaani utapigwa chuma nyingi sana
 
Vijana wa jamiiforum waoga sana, eti heshimu, usikosoe na ule na watu wa system, Taifa la machawa na si siku nyingi wote mtakuwa mashoga tuu
Kaka watawala wanafurah wote tukiwa mazombi bahati nzuri our system especially tycoons they are untochouble hata sheria ikifika kwao itapinda pinda naonaga no upmbavu mtu kuapa mbele ya watu milioni 60 atailinda na kuitunza katiba wafanye hv futa vyama vyote vya siasa wabaki wao tu hakuna kuapa aseme tu atapambana nchi iwe ya asali na maenddeleo tuone hayo maendeleo hata leo hii Tz nzima wenye viti wa mitaaa ccm , madiwani ccm , wakurugenzi ccm mameya ccm wabunge 99% ccm na bado uchumi wetu umetushinda yale yale ya kitaka uwe kk taifa ka Xijing ping Afu possition zote umeweka vilaza wakibebana na wala rushwa
 
Kwenda huko
 
Ata ivo uyo Mzee anabusara sana...ilikua iwe party ya ngwea
 
Nunua watch smartphone ,I set na laptop yako ya nyumbani, ofcn na mkeo
Kisha Ivae au iweke kwa wallet...ukitekwa tuna ku track bila wao kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…