Fanya haya kulinda Nywila (Password) zako

Fanya haya kulinda Nywila (Password) zako

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
nywila.jpg

NAMNA YA KULINDA NYWILA (PASSWORD) YAKO

1) Usitumie Nywila (Password) moja kwenye kurasa zako zote za Mitandao ya Kijamii. Hakikisha kila mtandao unatumia #Password yake

2) Hakikisha Nywila yako ina jumla ya herufi/alama zisizopungua 16 au na zaidi (Mfano: M1m1$%678abc@£+#)

3) Usitumie maneno ya kwenye Kamusi kama nywila yako. Na usiruhusu kivinjari chako (Web browsers mfano Chrome, Opera, Firefox, Brave n.k) kuhifadhi nywila yako

4) Usitumie jina la ndugu, Mtoto au Mzazi wako au Wanyama (mfano Mbwa, Paka etc), mwaka wa kuzaliwa au namba ya simu kama nywila yako. Ni rahisi Mtu kuhisi na kukufanyia udukuzi
 
1) Usitumie Nywila (Password) moja kwenye kurasa zako zote za Mitandao ya Kijamii. Hakikisha kila mtandao unatumia #Password yake

2) Hakikisha Nywila yako ina jumla ya herufi/alama zisizopungua 16 au na zaidi (Mfano: M1m1$%678abc@£+#)

3) Usitumie jina la ndugu, Mtoto au Mzazi wako au Wanyama (mfano Mbwa, Paka etc), mwaka wa kuzaliwa au namba ya simu kama nywila yako. Ni rahisi Mtu kuhisi na kukufanyia udukuzi

4) Usitumie maneno ya kwenye Kamusi kama nywila yako. Na usiruhusu kivinjari chako (Web browsers mfano Chrome, Opera, Firefox, Brave n.k) kuhifadhi nywila yako

#JamiiForums #DigitalRights #DataProtection #UlinziWaData
 
Back
Top Bottom