Fanya hivi kubana matumizi

Kweli mkuu eti kubana matumizi..kasumba ya ajabu kabisa!
 
WORD
 
Mkuu muachie nyumba umtembelee siku muhimu tu
 

ASANTE SANA MKUU,
Ndo tupo kwenye mchakato wa kutafuta nyumba ili mwezi wa 9 tuwe tumeshahama.
 
ukimaliza kupika chomoa kuni kwenye mafiga zizime zitakufaa kesho na mkaa pia ufunike kwa sefuria,nunua samaki vibua kamoja kanapiga tonge za ugali hata 15 unakuwa umesevu
CC : wenzangu wa mtogole rangi 3 na gomz pamoja na mabwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo hujaizungumzia bia ila umetililika vzr
 
ni kweli ndugu pesa zetu nyingi tunapoteza kwenye matumizi yasiyo ya lazima na michango isiyo na tija.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…