Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Muda wa kutumia simu kadi ambazo hazijasajiliwa unafika ukingoni January 20 huku kukiwa na siku mbili tu mbele.
Watanzania lukuki bado hawajakamilisha zoezi hili muhimu huku sababu kubwa ikitajwa ni NIDA kuwa na mwendo wa kinyonga, pamoja na hayo TCRA wametoa msisitizo kuwa hawataongeza muda wa usajili.
Unachopaswa kufanya:
Kama itafika January 20 na hujakamilisha zoezi la usajili unapaswa kuchukua.
Hatua hizi huku ukiendelea kuhangaikia lakini yako kufunguliwa mpaka hapo utakapokamilisha usajili.
1. Jiunganishe na huduma zinazowezesha mawasiliano mbadala, mfano WIFI ambayo haihitaji simu kadi ili kuweza kufanya kazi, hapo utaweza kupiga voice call Whatsaap, kuchati mtandao ya kijamii, kuwasiliana kwa barua pepe n.k
2. Azima simu kadi iliyosajiliwa. Unapaswa kumtafuta mtu anayekuamini na ukiwa alisajili lakini zaidi ya mbili muombe kuazimieshe
3. Tumia mawasiliano mbadala, kama vile kutumia barua kuwasiliana na njia nyinginezo.
4. Tumia PayPal, bank, webmoney, nk kutuma na kupokea fedha. Simu iliyounganishwa na WIFI au mifumo mingine inayoweza kukuunganisha na internet hata simu ya rafiki yako inaweza kukusaidia katika hili.
Vilevile unaweza kutuma na kupokea fedha kupitia kwa mawakala wa mitandao ya simu mtaani kwako, yani anatuma moja kwa moja kwa wakala.
Usikubali biashara au shughuli zako zikwame kisa hujakamilisha usajili baada ya January 20. Wakati ukishughulikia mchakato njia hizo ni mwarobaini wako
Watanzania lukuki bado hawajakamilisha zoezi hili muhimu huku sababu kubwa ikitajwa ni NIDA kuwa na mwendo wa kinyonga, pamoja na hayo TCRA wametoa msisitizo kuwa hawataongeza muda wa usajili.
Unachopaswa kufanya:
Kama itafika January 20 na hujakamilisha zoezi la usajili unapaswa kuchukua.
Hatua hizi huku ukiendelea kuhangaikia lakini yako kufunguliwa mpaka hapo utakapokamilisha usajili.
1. Jiunganishe na huduma zinazowezesha mawasiliano mbadala, mfano WIFI ambayo haihitaji simu kadi ili kuweza kufanya kazi, hapo utaweza kupiga voice call Whatsaap, kuchati mtandao ya kijamii, kuwasiliana kwa barua pepe n.k
2. Azima simu kadi iliyosajiliwa. Unapaswa kumtafuta mtu anayekuamini na ukiwa alisajili lakini zaidi ya mbili muombe kuazimieshe
3. Tumia mawasiliano mbadala, kama vile kutumia barua kuwasiliana na njia nyinginezo.
4. Tumia PayPal, bank, webmoney, nk kutuma na kupokea fedha. Simu iliyounganishwa na WIFI au mifumo mingine inayoweza kukuunganisha na internet hata simu ya rafiki yako inaweza kukusaidia katika hili.
Vilevile unaweza kutuma na kupokea fedha kupitia kwa mawakala wa mitandao ya simu mtaani kwako, yani anatuma moja kwa moja kwa wakala.
Usikubali biashara au shughuli zako zikwame kisa hujakamilisha usajili baada ya January 20. Wakati ukishughulikia mchakato njia hizo ni mwarobaini wako