Kama kichwa kinavyojieleza ni jinsi ya kufanya uume wako ukisimama(ukidinda) uwe Kama msumari ulionyoka
ni rahisi sana
MAHITAJI
1.asali
2.vitungùu swaumu
3.kijiko kidogo cha kawaida
MATUMIZI
chukua punje sita za kitunguu swaumu
menya katakata vipande vidogo vidogo
changanya na kijiko kimoja cha asali koroga alafu meza huo mchanganyiko
kila Siku asubuhi kabla hujala chochote au kunywa chochote kwa Muda wa
Siku saba (7).