Fanyeni yote lakini msiturudishe kwenye mgao wa umeme

Fanyeni yote lakini msiturudishe kwenye mgao wa umeme

Nawatania

Senior Member
Joined
Jul 13, 2021
Posts
148
Reaction score
549
Fanyeni yote ila msiturudishe kwenye

Mgao wa umeme.
Ujenzi wa bandari bagamoyo
Kukwamisha mradi wa umeme wa maji.
Kupanda kwa gesi.
Kupanda kwa mafuta.
Kupanda kwa bundle.
Kurudisha karo shuleni.
Kuturudisha kwenye umeme wa mitambo ya kukodi Kama IPTL.

Msituambie kwamba tunatakiwa kuwalipa wakina Singa Singa na Rugemalila kwamba walisingiziwa hapana maana waliowakamata ni nyie na mnaowaachia ni nyie.

Tufanye yote Ila tusije tukaongeza bei ya umeme na kurudisha umeme wa Nchi kuwa mikononi mwa watu binafsi.

Pls natoa tu angalizo msiturudishe kule tulikotoka tunahitaji mradi ule wa rufiji ukamilike haraka tupunguziwe gharama za umeme.
 
Umedukua plan zetu sio? Sasa tunaongeza vipengele kukupiga chenga, bei ya umeme itapangwa kulingana udogo wa matumizi, ukitumia kidogo, unalipa sana, hii ni kutokana na serikali kutumia rasilimali nyingi kukufikishia umeme halafu kumbe we unautaka wa kuwasha balbu mbili tu na TV, matumizi standard tunataka yawe kuanzia unit 150 kwa mwezi, huwezi, weka solar.
 
Umedukua plan zetu sio? Sasa tunaongeza vipengele kukupiga chenga, bei ya umeme itapangwa kulingana udogo wa matumizi, ukitumia kidogo, unalipa sana, hii ni kutokana na serikali kutumia rasilimali nyingi kukufikishia umeme halafu kumbe we unautaka wa kuwasha balbu mbili tu na TV, matumizi standard tunataka yawe kuanzia unit 150 kwa mwezi, huwezi, weka solar.
Wazo la kipumbavu kabisa
 
Umedukua plan zetu sio? Sasa tunaongeza vipengele kukupiga chenga, bei ya umeme itapangwa kulingana udogo wa matumizi, ukitumia kidogo, unalipa sana, hii ni kutokana na serikali kutumia rasilimali nyingi kukufikishia umeme halafu kumbe we unautaka wa kuwasha balbu mbili tu na TV, matumizi standard tunataka yawe kuanzia unit 150 kwa mwezi, huwezi, weka solar.
Waziri zuzu
 
Fanyeni yote ila msiturudishe kwenye

Mgao wa umeme.
Ujenzi wa bandari bagamoyo
Kukwamisha mradi wa umeme wa maji.
Kupanda kwa gesi.
Kupanda kwa mafuta.
Kupanda kwa bundle.
Kurudisha karo shuleni.
Kuturudisha kwenye umeme wa mitambo ya kukodi Kama IPTL.

Msituambie kwamba tunatakiwa kuwalipa wakina Singa Singa na Rugemalila kwamba walisingiziwa hapana maana waliowakamata ni nyie na mnaowaachia ni nyie.

Tufanye yote Ila tusije tukaongeza bei ya umeme na kurudisha umeme wa Nchi kuwa mikononi mwa watu binafsi.

Pls natoa tu angalizo msiturudishe kule tulikotoka tunahitaji mradi ule wa rufiji ukamilike haraka tupunguziwe gharama za umeme.
Ushindi kwa JK maana Makamba jr ndiyo kazi anakuja kuifanya na usisahau mabadiliko ya AG ni mkakati tu.
 
Aisee nimeumiss mgao wa umeme nilikuwa nafanya udalali wa kuuza majenereta enzi za Ngeleja...turudishieni mgao please hata kwa miezi sita tu uchumi ufunguke🙏🤣
 
Daah nimelia tena leo kwa mara nyingine kwaajili ya nchi yangu...But there is hope!
 
Makamba alikua anapinga Bwawa la Nyerere, sitegemei kama litakamilika.
 
Back
Top Bottom