ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Wadau wa JF nisaidieni kwa haya:
- Je NSSF bado wanatoa fao la kujitoa kwa watu walioacha au kufukuzwa kazi?
- Je wanalipa pamoja na riba?riba kama ipo inakokotolewaje>
- Je naweza fungua madai ofisi yoyote ya NSSF au Lazima niende pale niliposajiliwa mwanzo?
- Je nikishajitoa ndio akaunti yangu imefungwa au naweza endelea kuitumia iwapo ninataka kuendelea kuitumia?
- Je utaratibu mzima unachukua muda gani mpaka upewe pesa yako?
- Je fomu zao zinapatikana wapi katika tovuti yao?au lazima niende kwenye ofisi zao?