Hapo maana yake wameshatoa deposit cheque kwenda kwenye akaunti yako mkuu. Mzigo utasoma kwenye akaunti yako ndani ya masaa 72, jiandae kupokea mzigo huo mkuu kwa kishindo na kuweka heshima baa! Hongera.Wanajamvi Habarini za wakati huu.
Napenda kufahamishwa kwa ajili ya ufahamu wangu na wengineo. Je kama umefungua madai NSSF ya special lumpsum benefit na status ikawa Approved na pia ukiangalia kwenye member's portal kwenye account yangu naona salio ni Zero na contributions zero na number of credits zero je hali ya namna hiyo inamaanisha nini na mfumo wa malipo unakuaje hapo
Ahsanteni sana.
Ulichukua muda gani? Hadi kupokea pesa baada ya account, credits na contributions kusoma 00?Waulize nssf mkuu
Huku unaweza usipate jibu sahihi