faraja ya haraka inahitajika ..heaven on desert nshalizwa huku..

faraja ya haraka inahitajika ..heaven on desert nshalizwa huku..

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393
ukiambiwa mapenz ya siku hiz hayana mana we elewa tu hivo..ikiwa wewe unayafulahia hongera zako..wengine tushatendwa tena huku stress hizi siwezi kuzibeba peke yangu so nitaji malafik wanaojua kuchngamsha mtu kwa ajili tu ya kuchati nisahau sahau kama kutakuwa na ulazima wa more than a friend vigezo na mashariti vitazingatiwa.
NB:me ni he na nnataka malafiki wa dar pekee,20-27yrs
 
ukiambiwa mapenz ya siku hiz hayana mana we elewa tu hivo..ikiwa wewe unayafulahia hongera zako..wengine tushatendwa tena huku stress hizi siwezi kuzibeba peke yangu so nitaji malafik wanaojua kuchngamsha mtu kwa ajili tu ya kuchati nisahau sahau kama kutakuwa na ulazima wa more than a friend vigezo na mashariti vitazingatiwa.
NB:me ni he na nnataka malafiki wa dar pekee,20-27yrs

Pole sana Mkuu! Ni vizuri ukae peke yako, hapo utakuwa umeachana na stress
 
Hamna urafiki wa buree! Show za Diamond utanigea complimentary? Kama ndio basi hapo sawa!
 
jamii forum ni faraja tosha
 
jiongeze boy wapo kbao nenda sehem zenye michezo, games utamit na fans kbao wataondoa hzo strc
 
Back
Top Bottom