Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,461
- 2,238
Sitashangaa sana maana watanzania walishawahi kumuona Nyerere kwenye mwembe.Farasi Wa ajabu wameonekana uko Zanzibar Leo wajuvi hii ina maana gani. Au ndo siku za mwisho izi. View attachment 1422339
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiogope walikuwa wananifata Mimi. Nishaenda nimerudi.Farasi Wa ajabu wameonekana uko Zanzibar Leo wajuvi hii ina maana gani. Au ndo siku za mwisho izi. View attachment 1422339
Sent using Jamii Forums mobile app
taswira kwenye mawingu huwa ni imaginationFarasi Wa ajabu wameonekana uko Zanzibar Leo wajuvi hii ina maana gani. Au ndo siku za mwisho izi. View attachment 1422339
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hii sio edit ni liveadobe Photoshop like your thread
mkuu hii ni atariHabari zingine zina dautisha sana.
Weka video na wewe mwenyewe ukionekanamkuu hii sio edit ni live
Sasa elimu na Iyo picha wapi na wapi utakuta umeishia form four unajiona msomi na ww 😂😂
Sasa elimu na Iyo picha wapi na wapi utakuta umeishia form four unajiona msomi na ww [emoji23][emoji23]